Elections 2010 Walio hudhulia Kikao cha Siri Mwanza hawahapa,, Mmoja hajasema kitu

Elections 2010 Walio hudhulia Kikao cha Siri Mwanza hawahapa,, Mmoja hajasema kitu

Sahihi ndio kila kitu bwana yeye hata kama anakataa anakataa kwa wasiwasi na kama anakataa hiyo sahihi alilazimishwa kupiga, mbona alipiga sana?
Tumuulize Kabwe mbona alipiga Sahihi kama yeye anakataa kuhusika?
 
Moderators naomba mtuwekee ile barua tena coz wengine hatukuiona!!
 
Duh hii kali sasa sijui kwenye kuweka sahihi atasemaje na yenyewe sio ya kwake
 
kama dr. Slaa anaitumia barua hii kama msingi wake wa malalamiko, hapo ameshashindwa na ikienda mahakamani hii barua itamwumbua sana.

Huhitaji hata kuwa na akili kubwa kujua hiyo barua ni fake. Na ikienda mahakamani itachambuliwa kama njugu.

Ubaya wa mahakama, wakigundua umetoa barua fake, madai yako mengine yote hata yale ya maana yanatupwa.

Hili la barua hii pamoja na lile la kontaina lenye kura fake huenda slaa alitegeshewa makusudi na wajanja ili waanze kuthibitisha ni muongo na mropokaji.

Kibaya mwandishi ametaja na sehemu walipokutana. Mtu mmoja au wawili wakiwa na alibi kuonyesha isingeliwezekana wawe mwanza wakati huo, madai yote yanaporomoka hapo hapo.

kama hii barua ingekuwa ni feki kutokea itolewe kwa mara ya kwanza lazima dr slaa angekuwa ameshahojiwa na polisi has kuhusiana na kugushi sahihi ya mkurugenzi wa halmshauri ya mwanza na ikumbukwe suala hili likuwa linamgusa aliyekuwa waziri wa mabo ya ndani ya nchi ndg lawrence masha ambaye angehakikisha kuwa polisi wanachunguza kila kitu. Ukiona ccm wameamua kupiga blah blaha kikao hicho kilifanyika na maagizo hayo yalitolewa. Tazama reality maagizo hayo yalikuwa yanatekelezwa au la?
 
Hao walihudhulia bwana we huoni wanavyo jiumauma kwenye kujibu mara ooh mi nilikuwa South Africa hata hasemi alikwenda kufanya nini,, mungine oh mi sikaagi na Vogogo anajiumbua mwenyewe,,
 
Duu iyo mipango iliyo katika iyo barua ni watu wenye roho kama za wenda wazimu tu ndio wanaweza kuifanya, na ndio maana jk haponi ugonjwa wa kudondoka dondoka sababu ya dhuluma.wote mlioshiriki katika mipango iyo dhalimu mpate KIFAFA cha gafla!!!
 
hahahahaha Kifafaaa na Akianguka Safari hii kaenda na maji
 
Sihamasiki kuamini kuwa document hiyo ni genuine: haina hata reference number, wala kugongwa 'SIRI', na pia mpangilio wa maneno ni wa ki-layman. Barua imechakachuliwa ili kuleta dhana potofu kuwa jambo hilo limetokea. RA kesha onyesha passport yake kuwa alikuwa bondeni siku hiyo. Find Truth and nothing but the truth ili uwe Huru.
 
Kinachonitia wasiwasi ktk barua hii ni vipi Rithwaan anaweza kukaa na vigogo namana hiyo, yeye anaposition gani ya kumfanya akae nao meza moja ktk mambo ya chama ( japo bosi wake ktk immar advocates ndiye mwenye jiimbo), japo alikusanya signature za baba yake ktk uteuzi wa CCm kwa babayake. Halafu kwanini iwe ni mwanza tu, wakati chadema ilikuwa na nguvu karibia miji youte mijini (Arusha mjini, Moshi Mjini, ubungo,kawe, Mbeya na Iringa mjini nk) tatu uenyeji wa uandishi wa barua yenyewe ,watu wametajwa ni wale wale ambao kila mtu hataki kuwasikia, asa rostam na mwanza ilemela yeye inamuhusu nini? jamani naomba tuichambue barua hii ili tuweze kupata mwafaka, naomba maoni yenu


Ndugu kama Riz 1 hana nguvu kwa nini serikali na CCM wamtumie kumkapenia JK (baba yake), kuhusu wakina Rostam hao ndio wafadhili na wazee wa kuweka mambo vizuri kwa kutumia mbinu chafu ili mradi CCM ifanikiwe au kushinda hao ni mafia wa CCM.Swala la kutoka dar kwenda mwanza na kurudi dar sio ishu, mfano ukitumia boieng unatoka dar hadi mwanza kwa 45 mins na ukiwa na kikao cha saa1 mwanza unamaliza na karudi dar kwa dk 45 jumla unatumia masaa 3 tu yaani kama unatoka posta unaenda mbezi mwisho mtu anaenda mwanza kwa kikao na kurudi dar wewe hujafika mbezi, niambie je hawa hawana uwezo hata wa kuchukua ndege ya serikali au ya rais? Uwezo wanao kwa sana ndio maana hata utetezi wao ni wa kubabaisha, inasemekana JK kaenda mwanza saa 3 usiku na kurudi saa 9 usiku, hivi vitu vinawezekana ila CCM wamebainiwa ndio maana wanahamaki walijua watu hawatajua na sasa kumbe siri si siri tena.WACHAKACHUAJI WAKUBWA HAWA, HATA KWENYE KURA ZAO ZA MAONI PIA NI MFANO TOSHA.
 
mkuu uliyemchambua Rithwaani ugreat thinker nimekukubali, ila swali la pili kwa nini iwe mwanza tu na majimbo hayo mawili na si kwingine, ndugu sensa nisaidie ktk hili tafadhali
 
Ngoja naweka by attachment muheshimiwa Mwanza[1].pdf
nafikiri mpaka hapo utakuwa umepata picha ya tunachokiongelea (QUOTE)

Thanks for the attachment.

Duh. Mtu huhitaji kuwa digrii kujua kuwa barua hiyo ni feki. Ni mjinga na mwendawazimu tu anaweza kuandika barua ya aina hiyo

Nawathibitishieni KABWE haweZi kuandika barua ya aina hiyo.

Sasa naamini kabisa kuwa baadhi ya watu wa chadema narudia baadhi yao ni wachakachuaji wakubwa. Barua hii ni forgery. Na CHADEMA ndio waliofoji. Hii ni hatari kubwa.
 
Hahahahaha 1954,,, yaani nyinyi munachakachuliwa hadi mawazo jamani na kama Rosa amekutuma ujitahidi kukanusha kisha akupe ujira,, umechakachua mawazo yetu vibaya na haujafanikiwa,,,
ujue mtu aliyezoea kuchakachua anauweo wa kuchakachua hata Muhuli na Sahihi za Uhamiaji, sasa Passport ni nini bwana,,
 
Nyie mumeambiwa ni kikao cha siri sasa Refference number ya nini kwani huwa wanafanyaga vikao vingi vya siri?..

Maelezo ya mwanajamii mwenzetu yanamaanisha kuwa kunahitaji la kuweka Refference number kwasababu huwa wanafanya vikao vingi vya siri kiasi kwamba kila Barua inayo tokana na kikao hicho iwe na Refference number ili isilete confusion,,,

Kwa Taarifa fupi tu Barua kama hizi hawahitaji kuzi Document kwasababu ya usalama wa Taarifa iliyo andikwa,, Lakini sasa Tanzania hakuna Siri tena na ndiomaana tumeibamba
 
mbona tulishathibitisha uwepo wa kikao hicho huko mwanza
 
umeona mambo yanavyo zidi kuthibitika mzee,, sasa sisi tuna sema Hatudanganyiikiii
 
well hii barua sawa lakini naitilia shaka kwa upande fulani, itakuwaje iandikwe wazi namna hiyo wakati inajulikana ni siri kubwa? sitaki kuamini kuwa tunao viongozi bogus namna hii hata kutenda kosa wanakosea tena!
 
Back
Top Bottom