Walio wai kusoma nje ya tz

[/COLOR]you know i did that on purpose, right? Sigma ndie alianza! (Kingleza)
Inanikumbusha tulivokua wadogo-zaidi- tulikua tunabisha makosa
hata waanakukuta unafanya makosa unaanza kwa kusema fulani ndie alianza. lol
Sigma, the 18th letter of the Greek alphabet, right?

Hata wakubwa wanabisha makosa. Mwizi anambishia aliyeibiwa kuwa alipoiba hakuwa wamevaa viatu kama anavyodai aliyeibiwa bali alikuwa pekupeku.
 
Last edited by a moderator:
Sigma, the 18th letter of the Greek alphabet, right?

Hata wakubwa wanabisha makosa. Mwizi anambishia aliyeibiwa kuwa alipoiba hakuwa wamevaa viatu kama anavyodai aliyeibiwa bali alikuwa pekupeku.
hahahahaha, this is too much.
Unajua kuna kesi US ilikua kati ya mwizi na aliemnasa in his property.
kwa vile mwizi alikua hajaiba alishtakiwa kesi ya violation of private property
yeye mwizi akafanya "action reconventionelle" kwa sababu alipikua anakimbia
alikanyaga rake na kujiumiza mguuni na kichwani.
Had the owner of the property stored the rake properly
he wouldn't be wounded. in the end alilipwa, imagine!
 
Reactions: EMT

lol. Thief caught by Hidden app after victim remotely controls MacBook | Mail Online

Halafu acha kuchakachua hii thread. lol
 
Inategemea ni UDSM ya mwaka gani maana kama vile inabadilika from time to time.
mwisho wa siku akisema wa 1990 utasema wa University of East Africa.
 
thread ishachakachuliwa. tumesha mwambia aende kufanya TOEFL au IELTS. ameambiwa hadi wapi zinatolewa. sasa tuseme nini tena?

Ndo maana nikasema hata wakubwa huwa wanabisha makosa.

Haya bana. Kifimbocheza akija hapa mie simo.
 

Teterewhat an eloquent and excellent piece of advice! I think the best way to learn foreign languages is to freely express our selves before those who know more, however we should be pretty careful when talking to others who are not Tanzanians because a mistake of one can BE generalised to ALL. You know what, there is a good number of Tanzanians who have an outstanding command of English who need not to show those TOEFL, GRE, etc things when going for their masters/PhD, but because of the blunders of our preceders, are also suppossed to pass through the same scrunity.
 
nataka kwenda china.

kwa china sijawhi kusikia vitu hivyo vikihitajika sio kwa masters au PHD,labda kama ni hitaji jipya.Ninachojua kuna mtihani wa PROFESSIONAL ENGLISH ambao lazima uufanye ukiwa mwaka wa pili au wa tatu[masters or phd].Nakushauri nenda ubalozi wa china watakufafanulia vizuri [ukifika hapo ongea nao kiswahili watakuelewa vyema]
 
Hata cheti cha uwezo wako wa kiswahili pia unahitaji.

ucjar kama nitapataje nacho mkuu. Cz katk kutafuta unakutana na papa muda mwingne panya. Nipe mawazo nataka jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…