Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,255
ThubutuuuuuuuuuuuuIngekua University of Dar es Salaam unadhani angesubiri umuulize?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ThubutuuuuuuuuuuuuIngekua University of Dar es Salaam unadhani angesubiri umuulize?
Sigma, the 18th letter of the Greek alphabet, right?[/COLOR]you know i did that on purpose, right? Sigma ndie alianza! (Kingleza)
Inanikumbusha tulivokua wadogo-zaidi- tulikua tunabisha makosa
hata waanakukuta unafanya makosa unaanza kwa kusema fulani ndie alianza. lol
hahahahaha, this is too much.Sigma, the 18th letter of the Greek alphabet, right?
Hata wakubwa wanabisha makosa. Mwizi anambishia aliyeibiwa kuwa alipoiba hakuwa wamevaa viatu kama anavyodai aliyeibiwa bali alikuwa pekupeku.
hahahahaha, this is too much.
Unajua kuna kesi US ilikua kati ya mwizi na aliemnasa in his property.
kwa vile mwizi alikua hajaiba alishtakiwa kesi ya violation of private property
yeye mwizi akafanya "action reconventionelle" kwa sababu alipikua anakimbia
alikanyaga rake na kujiumiza mguuni na kichwani.
Had the owner of the property stored the rake properly
he wouldn't be wounded. in the end alilipwa, imagine!
thread ishachakachuliwa. tumesha mwambia aende kufanya TOEFL au IELTS. ameambiwa hadi wapi zinatolewa. sasa tuseme nini tena?lol. Thief caught by Hidden app after victim remotely controls MacBook | Mail Online
Halafu acha kuchakachua hii thread. lol
mwisho wa siku akisema wa 1990 utasema wa University of East Africa.Inategemea ni UDSM ya mwaka gani maana kama vile inabadilika from time to time.
thread ishachakachuliwa. tumesha mwambia aende kufanya TOEFL au IELTS. ameambiwa hadi wapi zinatolewa. sasa tuseme nini tena?
mwisho wa siku akisema wa 1990 utasema wa University of East Africa.
gakato, thank you so much for taking time to enlighten our young adults who are in great need of help. Yaani tatizo la lugha ya kiingereza ni kubwa kuliko ambavyo tungetaka kuamini.
Whatever we do in life, lets try to make excellency part of our character. Not only aiming to get certificates from institutions we are in but also making sure that the quality of our ideas/knowledge/language speaks louder of who we are than our words!
Tujitahidi.
nataka kwenda china.
mluhusu ajieleze kwa rugha anayoiweza zaidi bwana.
na nilipo sema MLUHUSU sijakosea? I did it on purpose, hii ilikua debate ya janaAaaaaa mwali hapo kwenye wino uliokolezwa umeniangusha, ni lugha sio rugha!
Hata cheti cha uwezo wako wa kiswahili pia unahitaji.sorry man i was meaning 'really i need it agently' nakubari nimekosea
sorry man i was meaning 'really i need it agently' nakubari nimekosea