Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawaza tu kama wale jamaa wamefungwa maisha kwa kubaka
Vipi aliewatyma??
Na kama bado yupo mtaanj mmejipangaje kumlinda yule dada aliefwanyiwa usheenzi
Nawaza tu kama aliewatuma watuwake wameenda maisha
Usalama wa yule dada ukoje??
Mtu mzima unatumwa kufanya jinai ? Shauri yakoNawaza tu kama wale jamaa wamefungwa maisha kwa kubaka
Vipi aliewatyma??
Na kama bado yupo mtaanj mmejipangaje kumlinda yule dada aliefwanyiwa usheenzi
Nawaza tu kama aliewatuma watuwake wameenda maisha
Usalama wa yule dada ukoje??
Mazingaombwe na kuna watu wamesimamia shoo hiyo? TLS na mashirika ya wanawake yalishakata rufaa kabla kesi haijaanza kusikilizwa walidai washtakiwa wamesomewa kesi chache. Ikachambuliwa ykabainika makosa kama 9 hiv ilibidi wasomeweHadi muda huu siamini kuhusu hukumu ya hii case, naona km mazingaombwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasema hakuna ushahidi unaoonesha kwamba kawatumaNawaza tu kama wale jamaa wamefungwa maisha kwa kubaka
Vipi aliewatyma??
Na kama bado yupo mtaanj mmejipangaje kumlinda yule dada aliefwanyiwa usheenzi
Nawaza tu kama aliewatuma watuwake wameenda maisha
Usalama wa yule dada ukoje??
Inaonyesha hujui stori nzima ipojeUmejuaje walitumwa?
Inaonyesha hujui stori nzima ipoje
Wale jamaa wamenyooshwaAiseee dah kale kadadq kana wakati mgumu
Hata mimi naona hivyo hivyo. Hivi waliompiga risasi Kombe unajua wako wapi?Hadi muda huu siamini kuhusu hukumu ya hii case, naona km mazingaombwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda wamekana hajawatuma na kwamba waliamua tu wenyewe,maana lazima kuwe na ushahidi unaoonyesha aliwatuma...Nawaza tu kama wale jamaa wamefungwa maisha kwa kubaka
Vipi aliewatyma??
Na kama bado yupo mtaanj mmejipangaje kumlinda yule dada aliefwanyiwa usheenzi
Nawaza tu kama aliewatuma watuwake wameenda maisha
Usalama wa yule dada ukoje??