Salaam, Shalom.
Kuna Msanii mmoja Jina silijui, ameimba wimbo usemao,
" Sisi ndio wale waliobarikiwaaa na na Mungu." Nakubaliana naye 100%.
( Kumbukumbu 15:6)
"Kwani BWANA, Mungu wako atakubarikia, kama alivyokuahidi,nawe UTAKOPESHA, mataifa mengi, lakini hutakopa, tena utayatawala mataifa mengi, usitawaliwe na wao."
Naongea nawe Mtanzania mwenzangu, unayemcha Mungu, Badili mtizamo, Anza kukopesha usidaiwe.
Katika level ya nchi pia, twende hivyo hivyo, Si vyema kujivunia madeni ndugu zangu, watatunanga!!
Tukibadili msimamo huu, tutakwenda vizuri, tukiwa na mtizamo wa kitajiri, huu wizi na ubadhirifu wa Mali ya umma utakoma, ni Umaskini wa mawazo tu ndio unawasumbua Hawa wezi wa Mali za umma!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA. 🇹🇿
Amen
Karibuni!!
Kuna Msanii mmoja Jina silijui, ameimba wimbo usemao,
" Sisi ndio wale waliobarikiwaaa na na Mungu." Nakubaliana naye 100%.
( Kumbukumbu 15:6)
"Kwani BWANA, Mungu wako atakubarikia, kama alivyokuahidi,nawe UTAKOPESHA, mataifa mengi, lakini hutakopa, tena utayatawala mataifa mengi, usitawaliwe na wao."
Naongea nawe Mtanzania mwenzangu, unayemcha Mungu, Badili mtizamo, Anza kukopesha usidaiwe.
Katika level ya nchi pia, twende hivyo hivyo, Si vyema kujivunia madeni ndugu zangu, watatunanga!!
Tukibadili msimamo huu, tutakwenda vizuri, tukiwa na mtizamo wa kitajiri, huu wizi na ubadhirifu wa Mali ya umma utakoma, ni Umaskini wa mawazo tu ndio unawasumbua Hawa wezi wa Mali za umma!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA. 🇹🇿
Amen
Karibuni!!