Poleni sana aisee
tayari chek website ya tamisemi
kwa taarifa nilizonazo ni kwamba mafunzo ya III A yamefutwa rasmi tanzania. NA vyuo vya ualim vya serikal vitapokea wanachuo mwez wa 10 kwa mafunzo ya stashahada.
acha uongo wewe tamisemi hakuna hayo majinatayari chek website ya tamisemi
second selection imetoka wakuu