Waliochaguliwa Umbwe High School

Waliochaguliwa Umbwe High School

Status
Not open for further replies.

Afyayaakili

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
924
Reaction score
1,263
Teh teh teh kwanza Hongereni kwa kuchaguliwa katika moja ya shule ngumu Tanganyika sijui kuhusu Zanzibar, ukimaliza hapa JKT huwezi kwenda kusumbuka coz hapa MTISAFI ni JWKBU(Jeshi la kupambana na wananchi wa kibosho Umbwe) naongea hivi kwasababu kupigana na wananchi wa kibosho kisa kugombea wanawake wa kibosho ni kawaida ila ukitulia ni kitu cha kusikia tu utaishi kwa amani mpaka unaondoka, ni utangulizi tu usitishike.

Sule inapatikana 20Km kutoka moshi mjini, ipo pembeni ya mlima mrefu Africa(Kilimanjaro), ipo katika mazingira mazuri ya baridi n ya kijani karibu muda mrefu wa mwaka ni mvua.Utakutana na wachaga wa Kibosho wanaozunguka shule ni wakarimu sana hasa wanawake zao na pia ni wazuri na chanzo cha ugomvi kati ya wanafunzi na wanakijiji ila inatokea mara chache sana. Utapanda gari Moshi mjini nauli ni 1000 au 1500 utashukia kituo kinaitwa KWARAFAELI na hapo utauliza njia ya kupanda kwenda shule kama 1Km hivi sio mbali nimekadiria.

Kitaaluma shule walimu wapo ila wakuungaunga kama unavyojua shul nyingi za kibongo, ila wanafunzi wanapigishana sana pindi wao kwa wao sitaki kuwadanganya kuwa hakuna walimu wapo ila ni wavivu kutimiza majukumu yao hasa katika kufundisha ila wanafunzi wanajua jinsi ya kuwahandle ndio maana migomo haiishi katika shule yangu kipenzi.

HudumA za chakula ni za kiserikali kama kawaida najua mtakuwa mmenielewa na ndio chanzo kikuu cha migomo yote iliyotokea nikiwa shulu na hata huu mgomo wa mwaka huu, ila misosi ya kununua ni kibao utakula ndizi mbivu mpaka usaze kuanzaia 50Tsh tuu sababu kibosho ni kama Jamaica kwa ndizi na mapalachichi matamu duniani yanapatikana hapa Kuanzia 50Tsh na kuendelea na akina mama lishe kama Mama Steve, Mama Lelo na mama Manka kuwa muangalifu wanatoa huduma za chakula mpaka kimwili angalia sana utakatwa mapanga bure.

Headmaster Mr Lyimo ndio kivuto katika shule kutokana na kutokuwa na msimamo kaita uongozi wake alishawahi kuruhusu watu wanywe Konyagi ili waache Viroba akizani Konyagi ni bei kubwa kwa hiyo wanafunzi hawawezi kununua kisha baadae akafuta kauli yake nisimzungumzie sana huyu mtu mtamuona wenyewe ni kituko aiseee.

Mazingra ni mazuri sana kwa kusomea, ilijengwa na wamishionari waKiingereza kipindi cha ukoloni na ipo karibu sana mlima Kilimanjaro na ni kivutio kikubwa utauna milima mzuri na barafu yake miaka yote utakayo kuwepo nilienjoy sana.

MAHITAJI MUHIMU KISHURESHURE

Blanket kubwa maana kuna baridi kali aiseee na sweta kuna siku nzima hamuoni jua ni mwendo wa mvua bora ununue rainboot kuliko kiatu cha shule(Rainboot zinaruhusiwa) nunua kiatu cha kikamanda chenye kuhimli mikiki ya maji maana mvua ni nyingi ukununua cha kichina utaacha soli nyuma(HILI NI MUHIMU) pia kuna tope sana ndio maana nashauri boot.

Siku za Jumamosi kama kawaida mtakuwamnaibuka kwenye soko moja maarufu linaitwa Kombo ni skiku ambayo watu wote wa kibosho umbwe na maeneo ya jirani kama Lyamungo wanaibuka kupata mahitaji yao ya wiki nzima, huwa vijana wa Umbwe wanaenda kuvizia watoto wazuri si unajua kipururu kili 7 cha uboys tena lazima maaeneo kama haya uende vinginevyo vijana watadondokadondoka ovyo kama shule za girls so kombo ni muhimu usiache kwenda hasa msimu wa Christmass wachaga wakiwa wamerudi likizo kuna kuwa na sherehe nyingi na msosi huwa unakuwa free off charge usimiss sehemu hizi kutoa shombo za dona maharage.

Kwa ujumla ni sehemu nzuri kwa kusoma pamoja na matatizo machache ya Waalimu, wakati sisi tunaondoka(2012 February) walimu wengi walikuwa wameajiliwa naona wanajitahidi kupamba na hilo tatizo sababu limeleta migomo mara 3, nyie wengine mnaweza mkafaidi kutokana na harakati zete Maveteran wa kipindi cha nyuma hata msosi umeimprove kwa ubora.

Ni hayo tuu nadhani baadhi ya maelezo yatakufanya uelewe undana wa shule mengine utayaona ukifika performance ipo juu kama kawaida watu hawafeli ovyo labda ujiingize kwene makundi ya wanywa MBEGE,UGORO na Kitu Cha Chuga utapotea kwa uzoefu kama Veteran wa pale wngi wamepotea kupitia vitu hivyo na mapenzi watu wameacha watoto zao kijijini, wakaacha kusoma wakahusudu Uchi matokeo yake wakataga(SCORE 0) maana akina manka ni wazuri si unajua watoto wa kichaga tena kuwa muuangalifu utakatwa mapanga na baba zao hawana mchezo.

Nitapita maeneo hayo kuja kuchukua cheti changu October hii kazeni na pia karibuni UDOM.

From
UMBWE VETERAN
umbwe2.jpgumbwe.jpg
 
asantee mkuu Kwa uwaz na courage umenipa pia sababu umeshanipa detailz za umbwe...tutakutana october ukifika pande hizi
 
We dogo umeongea 9 cha kumi umesahau ile deby yetu LYAMUNGO(machame) VS UMBWE(weruweru)

sasa hapa ndo kuna ile vita inayouaga raia mapanga,maslesha,mipin ya majembe hapa ndo mahali yake!!

Mimi nimepita Lyamungo lkn.
 
We dogo umeongea 9 cha kumi umesahau ile deby yetu LYAMUNGO(machame) VS UMBWE(weruweru)

sasa hapa ndo kuna ile vita inayouaga raia mapanga,maslesha,mipin ya majembe hapa ndo mahali yake!!

Mimi nimepita Lyamungo lkn.

ebanah kumbe kunakuwaga na deby mimi napenda xana i hope umbwe mdio alweyz wanaku winnerz
 
We dogo umeongea 9 cha kumi umesahau ile deby yetu LYAMUNGO(machame) VS UMBWE(weruweru)

sasa hapa ndo kuna ile vita inayouaga raia mapanga,maslesha,mipin ya majembe hapa ndo mahali yake!!

Mimi nimepita Lyamungo lkn.
yah pambano la mwisho tulipoteza kijana wetu mmoja ila umbwe waligawa nako ambayo haitasaulika kwa lyamungo baada ya kumuua kijana wetu na pia umbwe kipenzi cha mademu wa shule zote za moshi nakumbuka weruweru waliomba mwaliko wakuja umbwe tukawaruhusu,lyamungo waliposikia ivo wakatuma mwaliko kwenda weruweru wakakataliwa teh teh chezea umbwe pendwa sana na totoz hata demu wakibosho ukimwambia nasoma lyamung6 lazima akatae ile sema umbwe lazima ung'oe goma.
 
Me bwana nimechaguliawa eca pande izo ila nina mpango wa kuchange kwenda egm.mkubwa eee npe deails kati ya eca na egm apo umbwe ip inaheat
 
yah pambano la mwisho tulipoteza kijana wetu mmoja ila umbwe waligawa nako ambayo haitasaulika kwa lyamungo baada ya kumuua kijana wetu na pia umbwe kipenzi cha mademu wa shule zote za moshi nakumbuka weruweru waliomba mwaliko wakuja umbwe tukawaruhusu,lyamungo waliposikia ivo wakatuma mwaliko kwenda weruweru wakakataliwa teh teh chezea umbwe pendwa sana na totoz hata demu wakibosho ukimwambia nasoma lyamung6 lazima akatae ile sema umbwe lazima ung'oe goma.

hyo nilikuepo f6 pale Lyaboyz
 
Me bwana nimechaguliawa eca pande izo ila nina mpango wa kuchange kwenda egm.mkubwa eee npe deails kati ya eca na egm apo umbwe ip inaheat

dah jmbe ingekuwa vizur tujuane koz mm mwenyewe nimepangiwa pande hizo bt nahis pale hamna egm ni mwendo wa eca hgl na hge tu
 
duuu pga pcha #DH na kule #MSALAN 2one ubora wa xuly mkuu maana hko #??????#
toilet zina tatizo la kuziba na chemba kufumuka kinyesi coz miundo mbinu ilijengwa na mishionari kitambo ila maji ni 24 hrs hautasikia hata siku moja yamekatika na hakuna Mbu wala malaria sababu ya baridi.
 
Omba sana upangwe domitory no. 7,8 na 9 kule juu karibu na maputo kama vile waenda mkomongo utapenda...Kuna kaupepo kazuri hasa ukiwa na katizi na fongo pembeni utaipenda.

UMENIKUMBUSHA MBALI SANA 1997-2002 (FRM 1-6) AT UMBWE.ha ha ha...
 
Omba sana upangwe domitory no. 7,8 na 9 kule juu karibu na maputo kama vile waenda mkomongo utapenda...Kuna kaupepo kazuri hasa ukiwa na katizi na fongo pembeni utaipenda.

UMENIKUMBUSHA MBALI SANA 1997-2002 (FRM 1-6) AT UMBWE.ha ha ha...

Teh teh kitu cha katizi na fongo ukipiga lazima usinzie.
 
Omba sana upangwe domitory no. 7,8 na 9 kule juu karibu na maputo kama vile waenda mkomongo utapenda...Kuna kaupepo kazuri hasa ukiwa na katizi na fongo pembeni utaipenda.

UMENIKUMBUSHA MBALI SANA 1997-2002 (FRM 1-6) AT UMBWE.ha ha ha...

mkuu katizi na fongo ndio nin hcho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom