Waliochaguliwa Umbwe High School

Status
Not open for further replies.

Umenikumbusha mbali sana...Pande za kwa Rafaeli then unapita Mlama Hadi Mti Safi...Aksante kwa picha, nadhani usafi bado kipaombele...Heat Room bado ipo?

 
du naenda kunenepa uko.kuna adi donat
Ni wewe tu,maisha cheap sana ---- chalii angu mmoja alitumia 1000 term nzima nimwendo wa kula ndizi na mapalachichi ya shule na unaweza usitumie hata bati ukiwa kiongozi wa chakula(anaumaarufu kuliko hata headboy)utakula vizuri mpaka basi watu wanatoka vitambi wakipata nafasi ya kuwa viongozi wa msosi ila inalawama sana hasa wanafunzi wakikosa msosi kuna raia wanatoka Mbeya na Kanda ya Ziwa wanapenda sana kuwa viongozi wa jiko.
 
katizi na fongo, Gwakisa umenikumbusha mbali sana, umbwe 1993 - 1996. Umbwe juu Ucheche sana hakuna kufeli enzi hizo
 
Umenikumbusha mbali sana...Pande za kwa Rafaeli then unapita Mlama Hadi Mti Safi...Aksante kwa picha, nadhani usafi bado kipaombele...Heat Room bado ipo?


Ipo kaka.
 
hahaha umetisha xana mkuu

Nilikkuwa pale 2008-2010 ECA. Ishu ya UMBWE vs LYAMUNGO nilishiriki. Ilikuwa ni bonge la vita ktk life langu aliye fariki alikuwa mdogo wetu frm mbeya.
Mnaosoma hapo fanyeni kumaintain peace aisee maana ile ilikuwa ni bonge la vurugu ukibahatika kuniona nitakupa full detail. Hiyo ni balance b/d bado cjafika hata robo ya story kuikuta balance c/d.
 

nipe mpaka double entry
 
We dogo umeongea 9 cha kumi umesahau ile deby yetu LYAMUNGO(machame) VS UMBWE(weruweru)

sasa hapa ndo kuna ile vita inayouaga raia mapanga,maslesha,mipin ya majembe hapa ndo mahali yake!!

Mimi nimepita Lyamungo lkn.

Teh teh umenikumbusha siku za graduation yani tuliwahi kualika Umbwe boys 15 tu kwenye graduu ya dini pale weruweru ila kiluchotokea robo tatu ya shule ilikuja pale lol ikawa kama mixture yani umbwe girls na boys kulikuwa na fujo mpk mlinzi akawafukuza na mwaka uliofata wakazuia Umbwe wasije wakaalikwa Old Moshi, Lyamungo ma Moshi tech lol.
 
Ila nyie Umbwe kwa tabia zenu sijui wale majirani zenu wa Mlama sekondari wale wakike kama wanakuwa safe lol!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…