Waliochanga hela kwa Feisal Salum zitarudì?

Waliochanga hela kwa Feisal Salum zitarudì?

😂😂😂😂😂😂
Kumbe walichanga!!!
 
Iliandaliwa hafla kwa ajili ya fei, wewe unashangaa hiyo hela ya mboga
 
Mkuu usiwasanue,acha miye na Fei tuomole kidogo kidogo
Leo umevurugwa hatari,hata kuandika tu imekuwa mtihani.Unatumia herufi h pasipotakiwa na panapotakiwa huitumii.Pole sana mtani Feisal huyooo anaenda kulamba Ice cream na kula baga,kachoshwa na ugali sukari kila siku.
 
Mjini akili tu
📌📌📌📌

Screenshot_20230608_140640_Chrome.jpg
 
Leo umevurugwa hatari,hata kuandika tu imekuwa mtihani.Unatumia herufi h pasipotakiwa na panapotakiwa huitumii.Pole sana mtani Feisal huyooo anaenda kulamba Ice cream na kula baga,kachoshwa na ugali sukari kila siku.
Relax mkuu,anakosea bi kifimbo cheza FaizaFoxy itakuwa miye,acha tule mihamara ya mashabiki wa Simba
 
Hahahahaa kweli kuna watu wajanja:fei kala ela za wajinga alafu waliochanga pesa ni simba.

Alafu kaenda azam duh hii inaitwa turn over a k.a u turn.

Hivi simba mnashida gani?

Mbona akili ndogo sana.

Viongozi wenu waajabu sana.

Ela imeliwa na muhuni fei toto.

Mmeshupaza shingo kiko wapìii?

Nauliza hivi kiko wapiiii..
Ameshatoa tamko. Mtazikuta Msikitini, Kanisani, na kwa watoto yatima. Maana hawafahamu wale wote waliojipendekeza kumchangia.
 
Back
Top Bottom