Waliochanga hela kwa Feisal Salum zitarudì?

😂😂😂😂😂😂
Kumbe walichanga!!!
 
Iliandaliwa hafla kwa ajili ya fei, wewe unashangaa hiyo hela ya mboga
 
Mkuu usiwasanue,acha miye na Fei tuomole kidogo kidogo
Leo umevurugwa hatari,hata kuandika tu imekuwa mtihani.Unatumia herufi h pasipotakiwa na panapotakiwa huitumii.Pole sana mtani Feisal huyooo anaenda kulamba Ice cream na kula baga,kachoshwa na ugali sukari kila siku.
 
Leo umevurugwa hatari,hata kuandika tu imekuwa mtihani.Unatumia herufi h pasipotakiwa na panapotakiwa huitumii.Pole sana mtani Feisal huyooo anaenda kulamba Ice cream na kula baga,kachoshwa na ugali sukari kila siku.
Relax mkuu,anakosea bi kifimbo cheza FaizaFoxy itakuwa miye,acha tule mihamara ya mashabiki wa Simba
 
Ameshatoa tamko. Mtazikuta Msikitini, Kanisani, na kwa watoto yatima. Maana hawafahamu wale wote waliojipendekeza kumchangia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…