Waliodukua na kubadili hotuba ya Spika Ndugai wasakwe na kukamatwa maana huo ni uzandiki wa kumchonganisha na mkuu wa nchi

Waliodukua na kubadili hotuba ya Spika Ndugai wasakwe na kukamatwa maana huo ni uzandiki wa kumchonganisha na mkuu wa nchi

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa

Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.

Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
 
Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa

Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao
Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.

Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.


Ww lazima utakuwa ni mzee, ndio maana unaleta huu ujinga ukidhani watu hawajui lolote.
 
Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa

Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao
Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.

Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
Hili bunge ni dhaifu kupita kiasi, kipi kibaya alichoongea pale kama siyo uoga na unafiki?
 
Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa

Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.

Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
What if aliyedukuwa ndiye anayesema kadukuliwa?
 
Kama ni kweli hakuwa na nia mbaya ya kuziponda tozo, na mkopo wa tril 1.3 basi wahuni waliodukua na kuifoji hiyo klip ili kumuonyesha spika akiponda mkopo wa tril na kudai watanzania tutauzwa kama ng'ombe wasakwe na kukamatwa

Ieleweke wazi kuwa kudukua na kufoji ni kosa la kimtandao. Na walifanya hivi ili kumchonganisha spika na mkuu wa nchi wamefanya kosa.

Wasakwe na kukamatwa ili sheria ifuate mkondo.
HAJADUKULIWA huo ni UTETEZI Mzee alipania KUMPINGA RAIS
 
Back
Top Bottom