Waliofanya Interview ya TPA leo DODOMA

Waliofanya Interview ya TPA leo DODOMA

MARPOL

Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
18
Reaction score
24
Habari za leo wakubwa
Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. 👇

Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule mtihan unless uwe umeona madesa.
Ushauri
Janga la ajira n kubwa sana lakini hupaswi kukata tamaa. Nauli unazopoteza wakati huu ipo siku zitarudi maradufu.
Leo watu wameitikia kwa wingi mkubwa sana na wote tunawaombea kutokata tamaa
 
Habari za leo wakubwa
Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. [emoji116]

Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule mtihan unless uwe umeona madesa.
Ushauri
Janga la ajira n kubwa sana lakini hupaswi kukata tamaa. Nauli unazopoteza wakati huu ipo siku zitarudi maradufu.
Leo watu wameitikia kwa wingi mkubwa sana na wote tunawaombea kutokata tamaa
Daah
 
Habari za leo wakubwa
Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. [emoji116]

Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule mtihan unless uwe umeona madesa.
Ushauri
Janga la ajira n kubwa sana lakini hupaswi kukata tamaa. Nauli unazopoteza wakati huu ipo siku zitarudi maradufu.
Leo watu wameitikia kwa wingi mkubwa sana na wote tunawaombea kutokata tamaa
Mtihani ulibase nyanja ipi zaid mkuu?

Au Kuna watu wao tayari hiwezekan mtu aliyesoma hr aulizwe swali la electrical engineering
 
Habari za leo wakubwa
Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. 👇

Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule mtihan unless uwe umeona madesa.
Ushauri
Janga la ajira n kubwa sana lakini hupaswi kukata tamaa. Nauli unazopoteza wakati huu ipo siku zitarudi maradufu.
Leo watu wameitikia kwa wingi mkubwa sana na wote tunawaombea kutokata tamaa
Ok
 
Maswali gani yalitoka km unayakumbka?
Pepa la leo la tpa
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship ii) Dumerrage iii) heavy lift service iv)
2. Meanig of i) Quay transfer ii) storage operation iii) ship operation iv) delivery and receipt operation v)
3. Documents required in: i) general cargo clearing, ii) motor vehicle, iii) Container terminal movement iv) Transhipment
4. a) what is stowage plan b) 3 main content of a stowage plan
5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
 
Pepa la leo la tpa
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship ii) Dumerrage iii) heavy lift service iv)
2. Meanig of i) Quay transfer ii) storage operation iii) ship operation iv) delivery and receipt operation v)
3. Documents required in: i) general cargo clearing, ii) motor vehicle, iii) Container terminal movement iv) Transhipment
4. a) what is stowage plan b) 3 main content of a stowage plan
5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
Mhhhh huu ni unyama aisee, Utumishi sio poa.
 
Pepa la leo la tpa
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship ii) Dumerrage iii) heavy lift service iv)
2. Meanig of i) Quay transfer ii) storage operation iii) ship operation iv) delivery and receipt operation v)
3. Documents required in: i) general cargo clearing, ii) motor vehicle, iii) Container terminal movement iv) Transhipment
4. a) what is stowage plan b) 3 main content of a stowage plan
5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
Wallah hii pepa imesimama
Nadhani cut off inaweza kuwa chini
 
Back
Top Bottom