2sexy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 682
- 1,529
Ikawe kheriCha muhimu ni kuwa na imani maana asilimia kubwa wametoa lawama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikawe kheriCha muhimu ni kuwa na imani maana asilimia kubwa wametoa lawama
Watu wanaongelea paper na ugumu wake bro we unawaza kupiga denda hizo lipsiMkuu, lips [emoji105] zako nimezipenda
Kuishia kusema ahsante haitoshi mpe namba ya simuAhsante mkuu
Kila mtu anaangalia anachokipenda.. nyie si mnapenda Ajira basi endeleeni kukomaa nazo na hyo mitihani yenu ya kukomoana. Me denda ndo ugonjwa wangu jamani.. au Kuna dhambi hapo wakuu..?Watu wanaongelea paper na ugumu wake bro we unawaza kupiga denda hizo lipsi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umenena vyema mkuuKuishia kusema ahsante haitoshi mpe namba ya simu
Hii ni mauaji yani hapo ningerusha rusha ngumi tu kwenye demurage, na document required hapo ila kwengine chooni🤣🤣🤣Pepa la leo la tpa
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship ii) Dumerrage iii) heavy lift service iv)
2. Meanig of i) Quay transfer ii) storage operation iii) ship operation iv) delivery and receipt operation v)
3. Documents required in: i) general cargo clearing, ii) motor vehicle, iii) Container terminal movement iv) Transhipment
4. a) what is stowage plan b) 3 main content of a stowage plan
5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
Hiyo paper ni ya kibabe mno, kuwaotea utumishi ni kazi sana. Labda tuwe tunaingia na simu kwenye Paper hii ndio solution.Hii ni mauaji yani hapo ningerusha rusha ngumi tu kwenye demurage, na document required hapo ila kwengine chooni🤣🤣🤣
Mie hata demurrage nimeisahau, sijui hii pepa ningepata ngapi maana kila kitu naona nimesahauHii ni mauaji yani hapo ningerusha rusha ngumi tu kwenye demurage, na document required hapo ila kwengine chooni🤣🤣🤣
Dah, mr piano akitoa assist ya connection 😂😂Kuishia kusema ahsante haitoshi mpe namba ya simu
Vichwa vishaliwa vya kutoshaMatokeo tayari hukoo ajira.go.tz
Hahahaha hio mambo kweli nishidaMie hata demurrage nimeisahau, sijui hii pepa ningepata ngapi maana kila kitu naona nimesahau
Simu hawataki kabisa mtumie wanajua faza gugo atahusika tuHiyo paper ni ya kibabe mno, kuwaotea utumishi ni kazi sana. Labda tuwe tunaingia na simu kwenye Paper hii ndio solution.
Yaani mtu anapata 72 halafu kuna mwenzake kapata 1.
Hawa wote ni wahitimu wa elimu ya juu hawa.
Mjegeja za kichwa
me nashangaaga sana ..post ya shipping operations ni kada ya usafiri wewe wa HR, BBA, LAW kisa umeambiwà u apply naww unaomba tu kwenda kuchoma nauli zako bure.. kila mtu afanye interview kwenye kada yake,.Mtihani ulikuwa masuala ya bandari tu.
Kama hujawah fika au kujua kazi za mule basi umeisha
kama si kuchoma nauli tu[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3] Sasa mtu umesoma sociology una apply Ports operation utatoboa
Ndio ajiraHabari za leo wakubwa
Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. [emoji116]
Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule mtihan unless uwe umeona madesa.
Ushauri
Janga la ajira n kubwa sana lakini hupaswi kukata tamaa. Nauli unazopoteza wakati huu ipo siku zitarudi maradufu.
Leo watu wameitikia kwa wingi mkubwa sana na wote tunawaombea kutokata tamaa