Waliofanya Interview ya TPA leo DODOMA

Hii ni mauaji yani hapo ningerusha rusha ngumi tu kwenye demurage, na document required hapo ila kwengine chooni🤣🤣🤣
 

Hii ni mauaji yani hapo ningerusha rusha ngumi tu kwenye demurage, na document required hapo ila kwengine chooni🤣🤣🤣
Hiyo paper ni ya kibabe mno, kuwaotea utumishi ni kazi sana. Labda tuwe tunaingia na simu kwenye Paper hii ndio solution.
 
Hii ni mauaji yani hapo ningerusha rusha ngumi tu kwenye demurage, na document required hapo ila kwengine chooni🤣🤣🤣
Mie hata demurrage nimeisahau, sijui hii pepa ningepata ngapi maana kila kitu naona nimesahau
 
Yaani mtu anapata 72 halafu kuna mwenzake kapata 1.

Hawa wote ni wahitimu wa elimu ya juu hawa.

Mjegeja za kichwa

Inaitwa ahsante kwa kushiriki, ukute wa 01 na nauli aliungaunga 😂😂😂
 
Ndio ajira
 
sasa umesoma HR.BBA.LAW..sjui UFUGAJI WA KUKU unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPING...omba kazi kulingana na kada yako..ili USILE ZA USO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…