Waliofanya Interview ya TPA leo DODOMA

Kwa interview hizi ndio wanataka kiswahili kifundishwe mpaka secondary utakuwa upuuzi wa hali ya juu.
 
sasa umesoma HR.BBA.LAW..sjui UFUGAJI WA KUKU unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPING...omba kazi kulingana na kada yako..ili USILE ZA USO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…