Waliofiwa na ndugu zao wakati wa mgomo kumshtaki Dk Ulimboka na chama cha madaktari

Waliofiwa na ndugu zao wakati wa mgomo kumshtaki Dk Ulimboka na chama cha madaktari

ni kweli kuwa sio wagonjwa wote wanahitaji ct scan isipokuwa wale walioko kwenye hatari ya kufa tu.huu ndio ukweli unaoumiza!
Uimboka alitetea huduma bora za afya kwa wananchi,serikali ilimpinga kwa kumteka na kumtesa.

Toa hapa roho yako yenye pepo, utamteteaje Mtu analazmisha watu wasitibiwe? Eti anamshukuru Mungu kwa kumponya, Mungu kafanya hivyo makusudi ili apate kujutia na kutubu dhambi zake za kusababisha viumbe wa mungu kama yeye kupoteza maisha kwa sababu yake. Badala ya kutubu na kuwaomba radhi watanzania anaendeleza umafia wake. Asubiri sasa mara pili kama atapona.
 
Hayo ni mawazo ya watendaji wa serikali ya JK...Kazi kweli kweli.
 
Hawana uelewa wa sheria, Nadhani wanahitaji msaada wa kisheria. Hospitali sio za Dr. Ulimboka, hospitali ni za serikali. Kwa hiyo anaepaswa kuwajibika ni serikali sio Ulimboka. Ndugu yangu Edith Mgaga pale Ilala wasaidie
 
TISS wanaunda mazengwe ili kumfinga mdomo ULIMBOKA ila kitaeleweka tuu

Hao TISS waunde zengwe tena sana tu na sisi wanyonge tuko nyuma yao, Mtu yeyote anaunga mkono mgomo wa madaktari na kumkingia kifua Ulimboka ni wazi kabisa familia yake haitibiwi kwenye hospitali za walalahoi. Hivi Ulimboka ameshindwa kukemea unyanyasaji unaofanywa na Madaktari na Wauguzi kwa wagonjwa pindi waendapo mahospitalini? Hawa wanaojiita wanaharakati wana habari kuwa Madaktari wanauza dawa zinazotolewa na serikali na zingine kuzipeleka katika zahanati zao?
 
ulimboka hakuwa mwajiriwa wa serikali ni lini alihusika kutibu wagonjwa wetu?
Waziri wa afya(nkya) alikiri bungeni kuwa hakuna madhara yaliyotokea wakati wa mgomo.kwa hiyo na yeye atafutwe ahukumiwe,na hii itamaanisha serikali ilidanganya umma na yenyewe iwajibike?
MAHAKAMA NI KICHAKA CHA SERIKALI!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Wengi wetu tu mashuhuda wa wagonjwa waliotolewa Mahospitalini baada ya kukosa tiba wakienda kufia katika Zahanatiza watu binafsi hayo siyo madhara? wangepata matibabu pindi tu walipofikishwa hospitalini yote hayo yasingetokea.
 
Hawana uelewa wa sheria, Nadhani wanahitaji msaada wa kisheria. Hospitali sio za Dr. Ulimboka, hospitali ni za serikali. Kwa hiyo anaepaswa kuwajibika ni serikali sio Ulimboka. Ndugu yangu Edith Mgaga pale Ilala wasaidie

Kwa hiyo unataka kusema Madaktariwaliokuwa wa hospitali za Serikali waiingizwa mkenge na Ulimboka?
 
Ningeshangaa kama ungekosekana hapa

Na wewe na ID yako ambayo haijawa proved na mods unatafuta nini huju jf unajua kweli mada? KUBENEA type, kazi kuropoka tu bila kufanya uchunguzi.
 
Safi wapelekwe wote mahakamani na wafungwe kwa ubinafsi na tamaa na uroho
We mama weeee! Hao wafiwa, wafu na waathirika wa mgomo hawana mkataba na madaktari, mkataba upo kati yao na serkali, hakuna daktari aliyepiga kampeni majimboni ili achaguliwe kuwa daktari. Wao mhalifu wao wa kupeleka mahakamani ni serkali, watanzania tuna aibisha mno kwa uwezo wetu mdogo wa kuelewa haki zetu za uraia, inabidi M4C izidishe kasi x 100 ili to catch up na raia wa nchi zinazo tuzunguka
 
mbona mna mchecheto baada ya comrade ulimboka kurejea nchini?
Ulimboka amesema yuko tayari kwa chochote,hamkumuelewa?alipoamua kuwa kiongozi wa mgomo alijua lolote laweza kumpata hata kifo pia.
Personally i know dr uli.never underestimate Dr ulimboka!hata ukitaka kumuua ni lazima ujipange.
Hebu tuwe na subira kwa kuwa Ulimboka ametumwa kuikomboa sekta ya afya na nchi kwa ujumla.

bro..hao watoto wake utamlelea akitangulia mbele ya god?na wife?au jamaa ni bachelor so haoni tabu kujitoa mhanga
 
Hao TISS waunde zengwe tena sana tu na sisi wanyonge tuko nyuma yao, Mtu yeyote anaunga mkono mgomo wa madaktari na kumkingia kifua Ulimboka ni wazi kabisa familia yake haitibiwi kwenye hospitali za walalahoi. Hivi Ulimboka ameshindwa kukemea unyanyasaji unaofanywa na Madaktari na Wauguzi kwa wagonjwa pindi waendapo mahospitalini? Hawa wanaojiita wanaharakati wana habari kuwa Madaktari wanauza dawa zinazotolewa na serikali na zingine kuzipeleka katika zahanati zao?

kuwa nyuma ya TISS maanake nini?? hawafanyagi kazi kwa kuangalia public opinion WACHA KUJIPENDEKEZA......
 
Waliofiwa na ndugu zao na walioteseka kwa kukosa matibabu wakati wa mgomo wanajipanga kwenda mahakamani kuwashtaki madaktari,kiongozi wa mgomo dr ulimboka na mat.wameshaonana na wakili na kesi itafunguliwa katika mahakama ya kisutu baada ya taraibu zote kukamilika. Source.mimi mwenyewe nimemsikia mwathirika mmoja akiongea na wakili wao.


TGNP,TAMWA na Mama Bisimba mpoooooooooooooooo!!!!!
 
Waliofiwa na ndugu zao na walioteseka kwa kukosa matibabu wakati wa mgomo wanajipanga kwenda mahakamani kuwashtaki madaktari,kiongozi wa mgomo dr ulimboka na mat.wameshaonana na wakili na kesi itafunguliwa katika mahakama ya kisutu baada ya taraibu zote kukamilika. Source.mimi mwenyewe nimemsikia mwathirika mmoja akiongea na wakili wao.

Hapo hakuna case.

1. Were there any duty of care?
2. Was that duty of care breached?
3. Did the plaintif suffer a loss as a result of that breach?
4. Could the defendant reasonably foresee the damages against the plaintiff?
5. Did (damages) deaths actually occur as a result of the doctors' services boycot, or they (deaths) would have occured even otherwise?

Ok, assume there is a case:

1. What remedies are the plaintiff seeking? Liquidated or unliquidated?
2. Who will pay those damages? Individual doctors of their organisation?

If I had a chance of advising those plaintiffs, I would have advised them to sue the government on the basis of vicarious liability, because the government has got a "longer pocket" than individual doctors or their organisation.
 
Kweli kabisa wanahaki ya kufanya hivyo kwa sababu mahakama ilikuwa tayari imezuia mgomo huo, hivyo ulikuwa batili. Nadhani mnakumbuka chama cha walimu kilivyoambiwa pia?

Mi nina wasiwasi na chama cha madaktari na hiki cha walimu kama wanatumia wanasheria makini, wasije kuwa viongozi wao wanawaingiza mkenge!

Sijui unaishi wapi........MAT haikushiriki wala kuitisha mgomo......sijui ni chama gani unachokiongelea
 
Ni wangapi wamepoteza ndugu zao kabla ya mgomo wa madaktari?

Je madaktari wasingegoma vifo visingekuwepo?

Mkuu nadhani hujaelewa maana ya kusema 'wana haki kisheria' otherwise usingeuliza hilo swali kwa red
 
Mkuu hapa hatugombani, tunaelemishana so haina haja ya vijembe!

Hapana ..... sio vijembe....unisamehe...... ila kila mtu anafahamu kuwa mgomo ule haukuandaliwa na chama chochote cha madaktari bali 'jumuiya'' yao ambayo kisheria haipo.......hivo ukitaka kushitaki wa kushtakiwa ni serikali kwa kushindwa kutoa huduma......maji yasipotoka bombani wa kushitaki ni DAWASCO na si yule fundi bomba hata kama kagoma!!
 
Mgonjwa kuwashitaki madaktari kwa niaba ya serikali. Njama tu hiyo!
 
Back
Top Bottom