Waliofungwa kimakosa kwa mauaji ya Malcom X kulipwa Tsh. Bilioni 83.9

Waliofungwa kimakosa kwa mauaji ya Malcom X kulipwa Tsh. Bilioni 83.9

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1667198959387.png
Machi 1966, Muhammad Aziz, Khalil Islam na Mujahid Abdul Halim walihukumiwa kifungo kwa mauaji hayo na kisha Halim alikiri kumuua Malcom X, ingawa alikuja kuachiwa huru mwaka 2010.

Novemba 2021, Mamlaka za Jiji la New York zilithibitisha kuwa Aziz na Islam waliokaa jela miaka 20 hawakuhusika na mauaji ya mwanaharakati huyo mwaka 1965 na kusafisha majina dhidi ya hatia hiyo.

Oktoba 2022, Serikali imeidhinisha malipo ya Tsh. Bilioni 60.6 zigawanywe kwa Aziz mwenye miaka 84 na familia ya Islam ambaye ni marehemu, pia kwa pamoja walipwe fidia Tsh. Bilioni 23.3 kwa kufungwa kimakosa.

=======================

Two men who were exonerated in the 1965 assassination of Malcolm X will receive a $36 million settlement after lawsuits were filed on their behalf against both the city and the state of New York last year.

New York City agreed to pay $26 million in settling a lawsuit filed on behalf of Muhammad Abdul Aziz and Khalil Islam, Islam was exonerated posthumously in the killing. Meanwhile, the state of New York also agreed to pay an additional $10 million.

A New York City Law Department spokesman told ABC News on Sunday evening that the settlement "brings some measure of justice to individuals who spent decades in prison and bore the stigma of being falsely accused of murdering an iconic figure."

"Based on our review, this office stands by the opinion of former Manhattan District Attorney Vance who stated, based on his investigation, that 'there is one ultimate conclusion: Mr. Aziz and Mr. Islam were wrongfully convicted of this crime,'" he added.

David Shanies, the attorney who represents Aziz and the late Khalil Islam, confirmed on Sunday evening the terms of the settlement to ABC News.

The settlement comes after Aziz and the estate of Islam sued New York City on July 14, seeking $40 million for malicious prosecution, denial of due process rights and government misconduct. Aziz and the estate of Khalil Islam also filed two multimillion-dollar civil lawsuits in December 2021 aimed at New York state government.

Then-Manhattan District Attorney Cy Vance moved to vacate the convictions of Muhammad Aziz, 84, and co-defendant Khalil Islam in November 2021, citing "newly discovered evidence and the failure to disclose exculpatory evidence."

"Muhammad Aziz and Khalil Islam were wrongfully convicted and imprisoned for decades – 42 years between them – as the result of outrageous government misconduct and violations of their constitutional rights," Shanies said in July. "Justice delayed for far too long is justice denied. Mr. Aziz just turned 84 and Mr. Islam tragically died before seeing his name cleared."

"These men and their families should not be delayed compensation for the gross injustices they suffered," he added. Aziz, a U.S. Navy veteran and the father of six children, was 26 when he was arrested for the 1965 murder of Malcolm X at the Audubon Ballroom. He spent 20 years in prison.

Aziz was released on parole in 1985. Two years later, Islam was released after serving 22 years. They each appealed their convictions and always maintained their innocence. Islam died in 2009 at the age of 74. His estate filed a related claim.

Aziz and Islam were members of the Nation of Islam and belonged to Malcolm X's mosque #7 in Harlem.

Talmadge Hayer -- the confessed assassin of Malcolm X who was caught at the scene -- testified at trial that Aziz and Islam were not involved in the killing. In the late 1970s, Hayer signed an affidavit naming four other men who he said were involved in planning and carrying out the murder.

But the case was not reopened until interest in the case was renewed in 2020 following the release of "Who Killed Malcolm X?" – a Netflix documentary that follows the work of independent historian Abdur-Rahman Muhammad who spent decades investigating the killing.

"After I had watched the Netflix documentary. I thought there was enough to look at this," Vance told ABC News' "Soul of a Nation Presents: Xonerated - The Murder of Malcolm X and 55 Years to Justice," which aired in February. Vance apologized last year on behalf of the NYPD and the FBI for what he called "serious, unacceptable violations of the law and the public trust."

In his first TV interview since his exoneration, Aziz opened up about the wrongful conviction and trauma of systemic racism to ABC News' "Soul of a Nation." "If God is on your side. it doesn't matter who's against you. God's on my side," Aziz said in the interview that aired in February.

ABC NEWS
 
Hatimaye haki imepatikana, kumbe harakati za kuonea na kubambikia waislam mambo ya hovyo hovyo yalianza zamaniiii
My brother Malcolm X ameuwawa kwa sababu za kisiasa zaidi kuliko kidini,kwani mpango wake wa kuishitaki serikali ya Marekani kuhusu kukandamiza haki za watu weusi umoja wa mataifa na kuitangazia Dunia kuwa Marekani ni waovu ingewavua nguo na kufedhehesha kiasi kikubwa serikali ya Marekani ,hivyo wakaamua wapange mipango ya kumuondoa.
 
My brother Malcolm X ameuwawa kwa sababu za kisiasa zaidi kuliko kidini,kwani mpango wake wa kuishitaki serikali ya Marekani kuhusu kukandamiza haki za watu weusi umoja wa mataifa na kuitangazia Dunia kuwa Marekani ni waovu ingewavua nguo na kufedhehesha kiasi kikubwa serikali ya Marekani ,hivyo wakaamua wapange mipango ya kumuondoa.
Vyovyote iwavyo waliokamatwa na kushtakiwa na kusota kwa zaidi ya miaka hamsini ni jamii ya waislam, point yangu ni uonevu kwa waislam, labda umekurupuka tu kwa sababu nimetaja dini?
 
Unajuaje kama ni waislam, unadhani wapagani wanamajina yepi!

Na Kwa nini unasema ni waislam na sio wahindu
Hata kama angesema ni wahindu bado ungeuliza hilo hilo swali tena,kwanini wahindu na sio waislamu? bila shaka utakua na tatizo na Uislamu na ndio maana kama imekuchoma vile.
 
Hata kama angesema ni wahindu bado ungeuliza hilo hilo swali tena,kwanini wahindu na sio waislamu? bila shaka utakua na tatizo na Uislamu na ndio maana kama imekuchoma vile.
Unayedhani anawaonea, ndiye aliyetoa hukumu walipwe fidia, lipi ni lipi mkuu!
 
Unayedhani anawaonea, ndiye aliyetoa hukumu walipwe fidia, lipi ni lipi mkuu!
Hivi unafikiri uhuru wa binadamu katika maisha yake una fidia? wewe unaweza kukubali kwenda jela miaka 44 halafu upewe hizo hela?

Uhuru una thamani kubwa sana na haununuliki kwa pesa,freedom is life,huwezi kujua thamani ya uhuru wako kama huwafikirii waliopo Jela.
 
Hivi unafikiri uhuru wa binadamu katika maisha yake una fidia? wewe unaweza kukubali kwenda jela miaka 44 halafu upewe hizo hela?

Uhuru una thamani kubwa sana na haununuliki kwa pesa,freedom is life,huwezi kujua thamani ya uhuru wako kama huwafikirii waliopo Jela.
Sheria haina macho, shearia ni kiini macho, Inadanganya, haki pekee ni Kwa Mungu!

Na inawezekana pia ktk vipimo vya Mungu, hao waliosamehewa na kulipwa fidia, ndio wahusika wakuu na wauwaji wa Malicom!

Binadamu, mbali na kuwa tunaongozwa na sheria, lakini ndani ya kilindi cha moyo, shahidi mkuu wakw ni wewe na Mungu!
 
Hivi unafikiri uhuru wa binadamu katika maisha yake una fidia? wewe unaweza kukubali kwenda jela miaka 44 halafu upewe hizo hela?

Uhuru una thamani kubwa sana na haununuliki kwa pesa,freedom is life,huwezi kujua thamani ya uhuru wako kama huwafikirii waliopo Jela.
Ok
 
Back
Top Bottom