Waliofurahi na kucheza Bunge la Katiba ndio wanaolia leo na maamuzi ya CAF

Waliofurahi na kucheza Bunge la Katiba ndio wanaolia leo na maamuzi ya CAF

Dah,mtoa mada nasikitika kukuambia kuwa andiko lako halieleweki,nimejaribu kusoma zaidi ya mara tatu narudia rudio lakini sioni urari na vina katika andiko lako,yani ni kama umeshtuliwa kutoka usingizini au unamhemko kiasi kwamba unaandika kisichoeleweka,point yako inaweza kuwa ni nzuri lakini uwasilishaji wako hapa jukwaani unamang'amung'amu .

Kama hutojali rudia tena kuandika hili bandiko lako ili lieleweke vema .
Kaeleweka. wewe hujaelewa nini?
 
Dah,mtoa mada nasikitika kukuambia kuwa andiko lako halieleweki,nimejaribu kusoma zaidi ya mara tatu narudia rudio lakini sioni urari na vina katika andiko lako,yani ni kama umeshtuliwa kutoka usingizini au unamhemko kiasi kwamba unaandika kisichoeleweka,point yako inaweza kuwa ni nzuri lakini uwasilishaji wako hapa jukwaani unamang'amung'amu .

Kama hutojali rudia tena kuandika hili bandiko lako ili lieleweke vema .
hata mie cjakuelewa wapi hujaelewa, Halaf binaadam tuna level tofauti za ufaham
 
hata mie cjakuelewa wapi hujaelewa, Halaf binaadam tuna level tofauti za ufaham
nimesoma tena na tena mkuu sijang'amua kitu katika andiko lako,labda pia aina ya mfumo uliotumia kuwasilisha hiyo mada inaweza kuchangia
 
nimesoma tena na tena mkuu sijang'amua kitu katika andiko lako,labda pia aina ya mfumo uliotumia kuwasilisha hiyo mada inaweza kuchangia
pole sana najarib kueka sawa ila cjajua tatizo hoja au mfumo nlotumia kuwasilisha
 
Zanzibar haina tofauti na Kibiti, Kigoma, Tabora na mikoa mingine ya Tanzania bara, ndio maana raisi wa Zanzibar huwa anakuwa Waziri katika serikali ya Muungano, Wazanzibar hawajitambui sababu ya kula Kenge na Popo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukienda kwenye siasa Bila shaka akina mahalim na makajanja weziwe wameumbuka
 
Zanzibar haina tofauti na Kibiti, Kigoma, Tabora na mikoa mingine ya Tanzania bara, ndio maana raisi wa Zanzibar huwa anakuwa Waziri katika serikali ya Muungano, Wazanzibar hawajitambui sababu ya kula Kenge na Popo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar ni nchi, Watanganyika tusijidanganye. Nioneshe kwenda kibiti kuna geti gani la ukaguzi na immigration office?
 
Fikiri Umoja kama huu lakini kwa upande wa Ulaya majuzi imeikubalia uanachama kijimamlaka cha Gibraltar ambacho ni kimantik na kwa sheria zote ni sehemu ya Umoja wa Himaya ya Malkia wa Uingereza ikiwa na mamlaka yote ya kujiongeza yenyewe isipokuwa "Sovereignty" lakini ni mwanachama kamili

Acha kulinganisha Gibraltar na Zanzibar! Gibraltar ni nchi inayotawaliwa lakini Zanzibar ni sehemu ya Tanzania! Gibraltar inaweza kudai Jamuhuri, Zanzibar haiwezi kudai jamuhuri kwa kuwa itakuwa uhaini na uasi!

Tatizo la wazanzibar bado wanamini kuwa wao ni Nchi huru, kwa kweli inasikitisha sanaaaaa!!!!!, Muungano uliifanya Zanzibar kuwa sehemu ya Tanzania, kwa maana hiyo Zanzibar SIO DOLA!!!!!, Zanzibar haiwezi kufanya uamuzi ufuatao, kuwa na Jeshi lake, Polisi yake,kutangaza Vita,n.k kwa kuwa hizo ni sifa za nchi ambayo ni huru na ni Dola. Kwa mantiki hiyo, haiwezekani kutambuliwa kwenye CAF kwa kuwa kule kuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambamo Zanzibar imo ndani, Je hili nalo linahitaji Degree kuelewa? Zanzibar ilifanya mabadiliko ya katiba yao ambayo kwa kweli yalilenga kujifurahisha nafsi tu, lakini kwa kweli ilikuwa ni kujidanganya tu. kwani Mchawi wao Mkubwa NI MUUNGANO. Ushauri wangu kwa Wazanzibar huu sasa ni wakati wa kujitambua na kuchukua hatua.Ujecha hautawasaidia lolote kamwe!!!!!!
 
Mtoa mada uwe unakaza mkono unapoandika habari yoyote ili iwe ina uzito, hii habari yako imelegea mno kiasi kwamba hata ukiisoma mara mia haileweki. Mi nilijuwa wazenj mmelegea kuongea tu, kumbe hadi kuandika ni ulegevu kwa kwenda mbele?
 
Back
Top Bottom