Tetesi: Waliohamia CCM kuunga juhudi za hayati Rais Magufuli sasa kurejea kwa kishindo CHADEMA kudai katiba mpya!

Tetesi: Waliohamia CCM kuunga juhudi za hayati Rais Magufuli sasa kurejea kwa kishindo CHADEMA kudai katiba mpya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
 
Mambo anayoongea Nape ni makubwa mno kama una upeo mdogo au Elimu ya kuungaunga huwezi kimuelewa
Wewe mwenye upeo mkubwa hebu tusaidiane Nape analenga nini?

Jee unamfahamu Nape na uwezo wake wa kufikiri masuala mazito ya kitaifa hasa ya masuala ya kiuchumi? Usi overate watu hasa ambao watu tunawafahamu kwa undani.
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Wasajili hapo kwenu kwa usajili WA mara ya pili Kwa mkataba mpya
 
Mambo anayoongea Nape ni makubwa mno kama una upeo mdogo au Elimu ya kuungaunga huwezi kimuelewa
kweli anayoongea nape nimakubwa mno,ndio maana kwa sas hatuhitaji umeme wowote uliopo unajitoshereza Sana,na uko stable haukatkkatk hivyo.shut.....u........0p kb.......sa
 
Acheni hao wanafiki wasaka tonge msiwape nafasi kabisa huko CDM hao ndiyo wachawi wa demokrasia.
 
Back
Top Bottom