Tetesi: Waliohamia CCM kuunga juhudi za hayati Rais Magufuli sasa kurejea kwa kishindo CHADEMA kudai katiba mpya!

Tetesi: Waliohamia CCM kuunga juhudi za hayati Rais Magufuli sasa kurejea kwa kishindo CHADEMA kudai katiba mpya!

Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Baada ya Mbeleko walioitegemea kukatika. Hahahaaaaa MUNGU WA MBINGUNI ANAKUONA
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
 
Hata wale COVID-19 wako tayari kurudi wakati wako kwenye ulaji?
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Wamesha katwa mkia hao. Wabaki huko huko. Hawafai tena kujiunga kwenye zizi lenye watiifu.
 
CHADEMA haina nafasi kwa Wasaliti


Mmmh
Screenshot_20211016-092642.jpg
 
Hakuna chadema siku hizi,wengi wako ccm wanakula mema,asietaka kula nani,hivyo upinzani ni hakuna.
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Makamanda gani wanaokubali kununua?
Watafute KAZI ingine tu
 
Back
Top Bottom