johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe mwenye upeo mkubwa hebu tusaidiane Nape analenga nini?Mambo anayoongea Nape ni makubwa mno kama una upeo mdogo au Elimu ya kuungaunga huwezi kimuelewa
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Sisi tutawasamehe kwa maana hawakujua walitendalo.Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika...
Chako kina wanachama wangapi?Vyama vyote miyayusho tu!
Nafasi zimejaa. Tuna wanachama 8M we are approaching 10M soon. Hapa sizungumziii washabiki naongelea active members.Chadema haina nafasi kwa Wasaliti
Wachumia tumbo mtapata tabu sana.wacha turejee tu tulipotoka maaana kwa uongozi wa saaahv tumerudi kule kule nguvu mpya ari mpya kasi mpya
Vyama vyote miyayusho tu!
Wasajili hapo kwenu kwa usajili WA mara ya pili Kwa mkataba mpyaWanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika
Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.
Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Wakistaafu siasa familia zao zitaishije?!Hawa watakimbilia ACT wazalendo. Na wengine watajitangaza kustaafu siasa
Nape anaongea mambo makubwa? Kwamba upeo wa Nape na elimu yake ni vikubwa? Kweli nchi ina viazi hii!!Mambo anayoongea Nape ni makubwa mno kama una upeo mdogo au Elimu ya kuungaunga huwezi kimuelewa
Watajiajiri. Kipindi cha magu tuliambiwa watanzania wavivu sana hatupendi kufanyakazi .kweli mtaani kazi zipo nyingi zitawafanya waishi vizuri kama watanzania wengineWakistaafu siasa familia zao zitaishije?!
kweli anayoongea nape nimakubwa mno,ndio maana kwa sas hatuhitaji umeme wowote uliopo unajitoshereza Sana,na uko stable haukatkkatk hivyo.shut.....u........0p kb.......saMambo anayoongea Nape ni makubwa mno kama una upeo mdogo au Elimu ya kuungaunga huwezi kimuelewa
Hata wewe ni miyeyusho ti!Vyama vyote miyayusho tu!
Bora iwe hovyoHawa watakimbilia ACT wazalendo. Na wengine watajitangaza kustaafu siasa