Tetesi: Waliohamia CCM kuunga juhudi za hayati Rais Magufuli sasa kurejea kwa kishindo CHADEMA kudai katiba mpya!

Baada ya Mbeleko walioitegemea kukatika. Hahahaaaaa MUNGU WA MBINGUNI ANAKUONA
 
 
Hata wale COVID-19 wako tayari kurudi wakati wako kwenye ulaji?
 
Wamesha katwa mkia hao. Wabaki huko huko. Hawafai tena kujiunga kwenye zizi lenye watiifu.
 
CCM haina wanaotaka katiba mpya?
 
Hakuna chadema siku hizi,wengi wako ccm wanakula mema,asietaka kula nani,hivyo upinzani ni hakuna.
 
Makamanda gani wanaokubali kununua?
Watafute KAZI ingine tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…