The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwamba Silinde arudi ccm? 😅😅Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika
Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.
Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Nje ya mada
a. k. a OPNje ya mada
ila mna nafasi ya kupokea mafisadi?CHADEMA haina nafasi kwa Wasaliti
hawa ndiyo wahuni oroginal
hawa ndiyo wahuni oroginal
Wajipa moyo ili uweze kupata japo lepe la usingizi. Karibu utachoka kujidanganya.Hakuna chadema siku hizi,wengi wako ccm wanakula mema,asietaka kula nani,hivyo upinzani ni hakuna.
Kama Yuda Iskariote, alilitafuta mwenyewe, lishakuwa lake mwache akue nalo mpaka afe nalo.Mzee Halima Mdee jasho linamtoka haoni mbele hajui hatima yake.
Jumamosi iliyopita alijitia kwenda kumsalimu Mwenyekiti kaambiwa atulie tuli.
Mafisadi nyumbani kwao CCMila mna nafasi ya kupokea mafisadi?
hahahaaa na mafisadi huwa wanabadirika kumbe akiwa chadema siyo fisadi akiwa ccm fisadi chadomo theoryMafisadi nyumbani kwao CCM
Waendage kwa Zito wakaunge Juhudi part two.Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika
Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.
Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Akiwa chadema ni kibaka anayejinyea ila akirudi ccm ni mwenzetu waziri mkuu mstaafu na mshauri wa Rais wa ccm.hahahaaa na mafisadi huwa wanabadirika kumbe akiwa chadema siyo fisadi akiwa ccm fisadi chadomo theory
Habari njemaWanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika
Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.
Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Siku mkipevuka mtaelewa tu, wanasiasa wako kwenye siasa kwa maslahi yao sio kwa ajili ya kuwafurahisha nyie. Kama hilo ni gumu sana kuelewa basi kila la heri.Acheni hao wanafiki wasaka tonge msiwape nafasi kabisa huko CDM hao ndiyo wachawi wa demokrasia.
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika
Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.
Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Nikama wachezaji wa timu ndogo, wanaenda Simba na Yanga kuchukua hela tu,baada ya hapo wanarudi walikotoka...Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika
Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.
Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!