monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Tulikosea tangu 2015 tulipokabidhi nchi kwa washamba,haya ni matokeo tu Jombaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadaktaaaa….Una point kubwa sana.
Kuwepo wasanii ni jambo zuri tu kwakua hiyo ni kamati ya kuhamasisha mashabiki.
Ila kitendo cha kutokuwepo wakongwe wa soka kuwa sehemu ya hamasa wamezingua sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani atakuwa amekuelewa, kama bado atakuwa team wema tu..Mkongwe leo umeniangusha sana...
Hapa tulipofika hatuhitaji followers bali tunahitaji hamasa kwa wachezaji wakapigane kufa na kupona ili taifa letu likapate kufudhu AFCON.
Kama followers wangekuwa na umuhimu katika timu basi wamarekani wangekuwa mabingwa wa Dunia kila msimu kwa kuwa wana watu ambao wana followers weengi katika social media.
Mwamasishaji mwenyewe ndio huyu anaesinzia baada ya kuvimbiwa bwimbwi?Tulia Wewe Hata Wasanii Wana Haki Ya Kuisapoti Timu Ya Taifa Kazi Ya Kuhamasisha Wachezaji Ni Ya Kocha Wasanii Wanahamasisha Mashabiki
So shameful.Ni upuuzi kumpa nafasi Wema na kuongea hapo na kuahidi yeye ya team yake watakuwepo Taifa, je hii itasaidia Stars kushinda?
Ni uzezeta kumleta Steve Nyerere hapo na kuleta masihara yake na maigizo yake wakati wachezaji wanataka kusikia nini wameahidiwa ili kupambana kufa na kupona.
upuuzi mdogo mdogo sasa umekuwa mwingi. unawaahidi washabiki ambao hawachezi kutakuwa na pati na vinywaji nusu bei je itasaidia kujenga morali ya wachezaji?
La msingi hapa kamati ilitakiwa iende kambini iongee na wachezaji iwawekee dau mezani kama 10 milioni kwa kila mchezaji endapo timu itashinda na kufudhu, uone watu watavyopiga kazi, waambie wachezaji kuwa mnakatiwa viwanja Chanika hapo heka kadhaa kwa kila mmoja endapo mkishinda hii gem, waambie wachezaji familia zao zinapewa medical and life insurance endapo tutatoboa na kuingia AFCON.
Sio unakuja tueleza upuuzi wa kufunga mitaa na kufanya pati....pati tunaeza fanya tu wenyewe hata tusipofuzu
Vinaendana sana maana Rais wa TFF Alshabab Karia ni zero brain haswa.Sasa mwenyekiti ni MR. ZIRO BRAIN (Bashite) what do you expect..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkongwe leo umeniangusha sana...
Hapa tulipofika hatuhitaji followers bali tunahitaji hamasa kwa wachezaji wakapigane kufa na kupona ili taifa letu likapate kufudhu AFCON.
Kama followers wangekuwa na umuhimu katika timu basi wamarekani wangekuwa mabingwa wa Dunia kila msimu kwa kuwa wana watu ambao wana followers weengi katika social media.
Mkuu umeongea mazito Sana kama wa kwenye kamati watayaona wayafanyie kazi.. Alafu amasa ya zimamoto ihii, hizi ahadi zilitakiwa zitolewe kitamboNi upuuzi kumpa nafasi Wema na kuongea hapo na kuahidi yeye ya team yake watakuwepo Taifa, je hii itasaidia Stars kushinda?
Ni uzezeta kumleta Steve Nyerere hapo na kuleta masihara yake na maigizo yake wakati wachezaji wanataka kusikia nini wameahidiwa ili kupambana kufa na kupona.
upuuzi mdogo mdogo sasa umekuwa mwingi. unawaahidi washabiki ambao hawachezi kutakuwa na pati na vinywaji nusu bei je itasaidia kujenga morali ya wachezaji?
La msingi hapa kamati ilitakiwa iende kambini iongee na wachezaji iwawekee dau mezani kama 10 milioni kwa kila mchezaji endapo timu itashinda na kufudhu, uone watu watavyopiga kazi, waambie wachezaji kuwa mnakatiwa viwanja Chanika hapo heka kadhaa kwa kila mmoja endapo mkishinda hii gem, waambie wachezaji familia zao zinapewa medical and life insurance endapo tutatoboa na kuingia AFCON.
Sio unakuja tueleza upuuzi wa kufunga mitaa na kufanya pati....pati tunaeza fanya tu wenyewe hata tusipofuzu
Nadhani yameanza kufanyiwa kazi.... tayari zawadi ya 10mln kwa kila mchezaji imetangazwaMkuu umeongea mazito Sana kama wa kwenye kamati watayaona wayafanyie kazi.. Alafu amasa ya zimamoto ihii, hizi ahadi zilitakiwa zitolewe kitambo
Sent using Jamii Forums mobile app