Walioiangusha Bongo Movies sasa wanaipigia debe Taifa stars...

Walioiangusha Bongo Movies sasa wanaipigia debe Taifa stars...

Mkongwe leo umeniangusha sana...
Hapa tulipofika hatuhitaji followers bali tunahitaji hamasa kwa wachezaji wakapigane kufa na kupona ili taifa letu likapate kufudhu AFCON.

Kama followers wangekuwa na umuhimu katika timu basi wamarekani wangekuwa mabingwa wa Dunia kila msimu kwa kuwa wana watu ambao wana followers weengi katika social media.
Nadhani atakuwa amekuelewa, kama bado atakuwa team wema tu..
 
Tulia Wewe Hata Wasanii Wana Haki Ya Kuisapoti Timu Ya Taifa Kazi Ya Kuhamasisha Wachezaji Ni Ya Kocha Wasanii Wanahamasisha Mashabiki
Mwamasishaji mwenyewe ndio huyu anaesinzia baada ya kuvimbiwa bwimbwi?
tapatalk_1553260646753.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa, siasa,siasa.
Ndio zinatupoteza.

Na nina ona kabisa kufuzu ni ndoto.. labda tu wachezaji wenyewe wajiongeze na kupambana.

[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
 
Ni upuuzi kumpa nafasi Wema na kuongea hapo na kuahidi yeye ya team yake watakuwepo Taifa, je hii itasaidia Stars kushinda?

Ni uzezeta kumleta Steve Nyerere hapo na kuleta masihara yake na maigizo yake wakati wachezaji wanataka kusikia nini wameahidiwa ili kupambana kufa na kupona.

upuuzi mdogo mdogo sasa umekuwa mwingi. unawaahidi washabiki ambao hawachezi kutakuwa na pati na vinywaji nusu bei je itasaidia kujenga morali ya wachezaji?

La msingi hapa kamati ilitakiwa iende kambini iongee na wachezaji iwawekee dau mezani kama 10 milioni kwa kila mchezaji endapo timu itashinda na kufudhu, uone watu watavyopiga kazi, waambie wachezaji kuwa mnakatiwa viwanja Chanika hapo heka kadhaa kwa kila mmoja endapo mkishinda hii gem, waambie wachezaji familia zao zinapewa medical and life insurance endapo tutatoboa na kuingia AFCON.

Sio unakuja tueleza upuuzi wa kufunga mitaa na kufanya pati....pati tunaeza fanya tu wenyewe hata tusipofuzu
So shameful.
Eti Wema na timu yake watakuwepo. Hivi ni itakuwa football au Bongo movie wanaojiuza?
Whoever thought of that group of irresponsible people is insane.
 
TANZANIA NDIO NCHI PEKEE AMBAYO...
Kiongozi wake anaongoza maombi kwa MUNGU ili awasaidie jambo fulani halafu anaahidi wakifanikiwa basi Baadhi ya mitaa itafungwa na BIA kuuzwa nusu bei...
 
Mpira umevamiwa na wanasiasa ,na wauza sura wa instagram,

Kwa hali hii hatuend popote,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Nikiskia majina wa mashujaa wa mpira wetu akina george masatu, mwameja etl hadi mwil unasisimka. mkuu hamasa inayofanywa siyo ya ushindi bali nikujaza uwanja na kukuza mapato na siyo ushindi kwa maana ya kupata matokeo. siasa ni watu na ndiyo maana kamati inaongozwa na wana siasa na wanasiasa wanajua namna ya kupata watu...tumia wasaniii🤣🤣🤣 hao legends wanaimpact kwenye matokeo na siyo ushindi
 
Kabisaa...yaani maana katika 10 za wenye followers wengi Ronaldo tu Na Mess ndo hawako Marekani ila kwa kweli wamefeli mnoooo...au wanajua wabongo washamba watajazana taifa kumshangaa Wema Sepetu na wenziwe...

Mimi wamenikera mnoooo
Mkongwe leo umeniangusha sana...
Hapa tulipofika hatuhitaji followers bali tunahitaji hamasa kwa wachezaji wakapigane kufa na kupona ili taifa letu likapate kufudhu AFCON.

Kama followers wangekuwa na umuhimu katika timu basi wamarekani wangekuwa mabingwa wa Dunia kila msimu kwa kuwa wana watu ambao wana followers weengi katika social media.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni upuuzi kumpa nafasi Wema na kuongea hapo na kuahidi yeye ya team yake watakuwepo Taifa, je hii itasaidia Stars kushinda?

Ni uzezeta kumleta Steve Nyerere hapo na kuleta masihara yake na maigizo yake wakati wachezaji wanataka kusikia nini wameahidiwa ili kupambana kufa na kupona.

upuuzi mdogo mdogo sasa umekuwa mwingi. unawaahidi washabiki ambao hawachezi kutakuwa na pati na vinywaji nusu bei je itasaidia kujenga morali ya wachezaji?

La msingi hapa kamati ilitakiwa iende kambini iongee na wachezaji iwawekee dau mezani kama 10 milioni kwa kila mchezaji endapo timu itashinda na kufudhu, uone watu watavyopiga kazi, waambie wachezaji kuwa mnakatiwa viwanja Chanika hapo heka kadhaa kwa kila mmoja endapo mkishinda hii gem, waambie wachezaji familia zao zinapewa medical and life insurance endapo tutatoboa na kuingia AFCON.

Sio unakuja tueleza upuuzi wa kufunga mitaa na kufanya pati....pati tunaeza fanya tu wenyewe hata tusipofuzu
Mkuu umeongea mazito Sana kama wa kwenye kamati watayaona wayafanyie kazi.. Alafu amasa ya zimamoto ihii, hizi ahadi zilitakiwa zitolewe kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wewe akili ya mwenyekiti wa uhamasishaji unaionaje? Kwasababu yeye mwenyewe ni mtu wa vitu fake kuanzia majina hadi vyeti lazima atatafuta watu wa hovyo kama hao uliowaelezea. Wacheza picha za ngono na wahuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutafunga baadhi ya mitaa tule bata.... Vinywaji vitashuka nusu bei kwa masaa 6...! Sijawahi anzisha jambo afu likakakwama...!
 
Back
Top Bottom