MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Mwanza ni jiji kubwa tu ila mzee Morogoro is the best hata kama sio jiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kufanya maisha Moro japo kila Q lazima nikatize mitaa hiyo.
Mwanza: Population ni kubwa, pana pesa za Madini, Ufugaji, Uvuvi, Kilimo + waajiriwa wa private and public sectors.. Watu wake bado hawana customer care nzuri (wekeza kwenye hili eneo), hali ya hewa nzuri na vyakula vinapatikana. Ukweli mwingine ni kwamba Mwanza town Wasukuma bado ni wengi na hawajachangamka sana, ni rahisi kupata faida kubwa kufanya biashara kwao.
Moro: Sidhani kama pana advantage zaidi ya Mwanza.
Wengine waongeze.
Wasukuma sijui wanashida gani, nimemuuzia MiFi kesho yake karudi anafurahi utadhani nimemuhakikishia ataingia peponi, akanipa na hela tenaMkuu hiyo niliona Buhongwa,mtu kawekewa Whatsup kailipia buku ishirini alafu kafurahiiiiiiiiii.
Sawa Mjanja wa mjini.Wasukuma sijui wanashida gani, nimemuuzia MiFi kesho yake karudi anafurahi utadhani nimemuhakikishia ataingia peponi, akanipa na hela tena
Wapi nimesema mimi mjanja? Halafu hata Mwanza Kuna mjini piaSawa Mjanja wa mjini.
Mpenzi usifananishe Mwanza na vitu vya kijinga.Wadau kati ya hiyo mikoa ipi mzuri Kwa familia na makazi na biashara .
Wajameni siitaji majibu ya hovyoo kama mdomo wako ni mchafu sana kapige mswaki kimya a
Am from MwanzaMwanza Kuna samaki,wanaume wenye bigdick na warefu...........morogoro Kuna mihogo,wanaume wenye dickwastan na wafupi.now it's your choice cute
Thanks much brotherAm from Mwanza
Welcome Sister.
Sasa mkuu mteja akifurahia huduma yako ni vibaya?Wasukuma sijui wanashida gani, nimemuuzia MiFi kesho yake karudi anafurahi utadhani nimemuhakikishia ataingia peponi, akanipa na hela tena
Morogoro, 1. Kielimu, Kuna shule za msingi nyingi za wamisionari, Fransalian, Benard Bendel, Theresian, Capuchin, Precious Blood, Adventists, Lutherans, Muslims, Indians, n.k. Vyuo ndo usiseme. VETA, LITI, ardhi, Forests, Universities. Ni mji uliojaa wasomi, kila ukizunguka, au ukiwa kwenye daladala ukosi degrees, professors. Wanafunzi na n.k.Wadau kati ya hiyo mikoa ipi mzuri Kwa familia na makazi na biashara .
Wajameni siitaji majibu ya hovyoo kama mdomo wako ni mchafu sana kapige mswaki kimya a