Waliojenga katika maeneo ya viwanda Pugu Road na maeneo mengine ya nchi wajiandae

Waliojenga katika maeneo ya viwanda Pugu Road na maeneo mengine ya nchi wajiandae

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kuna clip iko kwenye mitandao ikimuonyesha Waziri wa Ardhi, Bwana Lukuvi akitaka maeno ya yaliyotengwa kwa akili ya viwanda huko barabara ya Pugu na sasa yanatumika kwa shughuli nyingine yachunguzwe na hatua zichukuliwe.

Ameagiza vibali vichunguzwe na waliobadili matumizi ya viwanja hivyo kwa mfano kuweka ma-godown badala ya kujenga viwanda wajiandae.

Pia kasema zoezi hili pia litahusu maeneo mengine ya nchi.

Wacha tusubiri.
 
Maneno mengi Lukuvi bila effect. Atasema sana lkn idara ya ardhi ataiacha kama alivyoikuta. Kama hajawafuta kazi those legends, na kuweka wapya, anajihangaisha.
 
Lukuvi hajawahi kua na akili ni mchumia tumbo tu,godown ndio kiwanda kinapoanzia,mtu anajenga au kukodisha ili kufunga mitambo yake
 
Back
Top Bottom