Kwa jinsi manunuzi ya serikali yanavofanyika, kibanda kile kina thamani ya hiyo 11m au hata zaidi!!
Ni bahati mbaya waliolalamikia kibanda hicho na kusababisha mashitaka haya - ni wanasiasa. Ikifanyika BOQ, inawzekana kabisa pesa ambazo zitaonekana kuibwa sio zaidi ya 2m!!
Huduma au mali inazopatiwa serikali au taasisi za umma hutolewa kwa bei ya juu - sababu moja wapo ni ucheleweshaji wa malipo!! Unatoa huduma halafu unakaa miezi na hata mwaka ukisubiri kulipwa!!