Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Ujenzi rahisi sana ..sema waliojenga hupenda kutisha watu
Wanawatishaje watu? Kama ni hivyo basi hata kusoma ni rahisi sana maana waliosoma wanawatisha sana wasiosoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujenzi rahisi sana ..sema waliojenga hupenda kutisha watu
Mimi nimejenga nyumba vyumba viwili(vyote ensuite), sebule na jiko mpaka sasa hivi imefikia tzs 30m. Kuna vitu vichache bado vikikamilika mahesabu yangu yananiambia itafika tzs 35m. Kinachokula hela ni finishing mfano vifaa vya umeme switches/sockets ni chrome (imported) tiles nimeweka 60*60, 50*50 zikiwemo zile nyeusi. Madirisha as usual aluminium windows, fitted kitchen with work top plus all appliances, mosaic tiles ukutani,gypsum ceiling +lights,bathroom wall tiles from floor to ceiling,rangi ndani silk nje weather guard.mi nimejenga chumba na sebule kila kitu.. basic finishing.. no tiles.. kwa 5m tu... ila kuna uzi humu watu walikuwa wanasema milion 10.. nikakata tamaa..
nilivyokaza roho na kuanza ujenz hadi nimeamia
Ha ha ha ha ha ha ha mkuu umenichekesha kwa kweliNdio nyie tunaowazungumzia.
Nyumba ya mabati sabini kwa elfu kumi na tano bati moja ni milioni moja hiyo.
Mbao za milioni na nusu zinatosha kupaua.
Matofali elfu mbili na mia tano ni milioni tatu hiyo, cement ya kujengea mifuko mia ni sh milioni moja hiyo.. Fundi wa kujenga na kupaua, milioni nne hiyo.. Hizo gharama unazozungumza, unajenga shule?
Ndio nyie tunaowazungumzia.
Nyumba ya mabati sabini kwa elfu kumi na tano bati moja ni milioni moja hiyo.
Mbao za milioni na nusu zinatosha kupaua.
Matofali elfu mbili na mia tano ni milioni tatu hiyo, cement ya kujengea mifuko mia ni sh milioni moja hiyo.. Fundi wa kujenga na kupaua, milioni nne hiyo.. Hizo gharama unazozungumza, unajenga shule?
Acha Uongo Milioni 20 Kwa Vyumba Vitatu?Ukiwa na kiwanja, gharama ya nyumba ya vyumba vitatu, kwa basic finishing ni around 20M. With the same house some one will mention kuwa ametumia milioni mia! Utadhani kajengea mchanga wa makinikia.
Hahahahahah,hivi makinikia ni niniUkiwa na kiwanja, gharama ya nyumba ya vyumba vitatu, kwa basic finishing ni around 20M. With the same house some one will mention kuwa ametumia milioni mia! Utadhani kajengea mchanga wa makinikia.
Hamna anaekutisha ila wengine kuacha 3m site kila mwezi ni ngumu.Tusitishane wakuu
Magwangala..Hahahahahah,hivi makinikia ni nini
Hawa vijana utawaweza kwa maneno.....yaani wanasema kuacha 3-5m kila mwezi kwenye site ni rahisi?!!! Mshahara wenyewe sh ngapi?!Mbn mnaosema ujenzi ni rahisi hamzungumzii vipato vyenu na maeneo mnayojenga..??
Labda kama kila mtu ana kipato kama wewe.Mleta mada upo sahihi. Kujenga ni simple kiasi.
We anza kununua material taratibu..... usikope kununua material, ila kopa kufanya finishing.
Waliojenga wana wanatisha sana watu.
Utakuta nyumba ya mil.30 mtu anakwambia hii nyumba imenigharimu karibu mil.80....Nimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.
Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.
Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
Thaafi! Wewe sasa ndio wa kuigwa mfano... Cha muhimu ni ko move in. Ukishahamia kwako zile kodi za laki mbili tatu za kila mwezi unazo save ndio zitafanya fininshing. Yani in the next two or three years nyumba inakuwa complete.mi nimejenga chumba na sebule kila kitu.. basic finishing.. no tiles.. kwa 5m tu... ila kuna uzi humu watu walikuwa wanasema milion 10.. nikakata tamaa..
nilivyokaza roho na kuanza ujenz hadi nimeamia
Kweli kabisa mkuu, yaani ukikomaa na mafundi hata laki tano unahamia kabisa....KWANZA CEMENT IMESHUKA BEI
NYUMBA HATA MILIONI MOJA UNAWEZA KUJENGA.. INATEGEMEA NA HADHI YA NYUMBA NA SEHEMU UNAYOJENGA
Kweli kabisa mkuu, yaani ukikomaa na mafundi hata laki tano unahamia kabisa....
Kuna rafiki yangu kajenga vyumba 3 na sebule kumuuliza msingi bei gani akaniambia million 15 nikamuuliza fundi kwa siri akasema m 6Ukiwa na kiwanja, gharama ya nyumba ya vyumba vitatu, kwa basic finishing ni around 20M. With the same house some one will mention kuwa ametumia milioni mia! Utadhani kajengea mchanga wa makinikia.