Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Upi mkuu?Uchochezi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji3] [emoji3]
Ndio Utani huo mkuu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nilidhani ni habari serious kumbe utani wa watani....dhana ya watani mara nyingine ni upuuzi.
Vv
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23]Mambumbumbu fc mna matatizo sana
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Apigani mtu hapo, mkuu hila kutoa Povu ruksa.Heheheh utani wa ngumi huu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Povu ruksa mkuu.Kwa mdomo nyie hatuwawezi ... ngoja sisi tuendelee kusaka ndoo ya 28
Ila yanga itakuwa sio fair kuchukua hii ndoo tena japo dalili zinaonesha hivyo angalau iwaachie na wengine japo kidogoKwa mdomo nyie hatuwawezi ... ngoja sisi tuendelee kusaka ndoo ya 28
Povu! Tangu lini wa mbele akakerwa na wa nyuma?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Povu ruksa mkuu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Apigani mtu hapo, mkuu hila kutoa Povu ruksa.
Sasa wa kumuachia ndio haonekani. Si unaona watu wenyewe ndio hawa, badala ya kucheza mpira wako bize kuandaa maneno.Ila yanga itakuwa sio fair kuchukua hii ndoo tena japo dalili zinaonesha hivyo angalau iwaachie na wengine japo kidogo