[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutofuata Sheria ni ugonjwa kwa watanzania wengi mpaka viongozi.
Unaanzishaje operation bila kufanya impact na legal analysis?
Makahaba hawana chapa, katiba inalinda faragha ya mtu, yeye na askari wake aligunduaje kuwa wale ndani ya gest house au lodge walikuwa makahaba na siyo wapenzi?
I wish I could be out of this career that am serving in. [emoji120]
Ifike mahali wakuu wa nchi wapate busara, wawafute kazi wajinge kama hawa.Kosa la kwenda guest😂😂😂😂
Sumbawanga🤝I wish I could be out of this career that am serving in. 🙏
Hii kitu hii, imenionesha kwamba tuna viongozi vilaza sana , nimeona ile clip kuna hukiukwaji wa haki za binadam.Wasalaam!
Baada ya Mkuu wa wilaya ya ubungo kuendesha zoezi la kukamata watu wanojiuza na wanao daiwa kununua makahaba wilayani humo!
Baadhi yao wamedai kufatwa nyumba za kulala wageni na kwenye vyumba vyao na kukamatwa wakituhumiwa kufanya biashara ya ukahaba uku wakidai kuwa wamesingiziwa na kudhalilishwa kwani walikuwa wamelala na wengine walikuwa na wapenzi wao wamepumzika!
Wameeleza kuwa wanajipanga wiki hii kufungua Mashitaka dhidi ya Mkuu wa wilaya binafsi na sio ofisi ya Mkuu wa wilaya kwani wao wanadai kuwa Mkuu wa wilaya ndio alikuwa ana washurutisha jeshi la polisi kuwadhalilisha na waandishi kuwapiga picha na wao hawakupewa nafasi ya kujieleza bali waliunganishwa na makahaba kwenye karandiga!
Wengine wamedai kuwa walikuwa wamelala ili kesho warudi kwa familia zao mikaoni wanashangaa kudhalilishwa na kufedheshwa na Bwana Yahaya aliyejitambulisha kama mkuu wa wilaya!
Wamesema wamesha waambia mawakili wao kumuandikia barua ya kumtaka mkuu wa wilaya kuwasafisha mbele ya jamii kama alivyo wadhalilisha na baada ya siku saba watafungua kesi ya madai dhidi ya Bwana Yahaya na baadhi ya polisi waliokuwa kwenye lile tukio!
N:B Mh Rais alishasema kama mkuu wa wilaya au mkoa akitumia madaraka vibaya yatakayomkuta yanamuhusu yeye sio serikali!
Pia soma:Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba
Hadi polisi ajifanye kahaba kwani athari za makahaba ni kubwa hivyo kiuchumi na kimaadili!?Juzi kati nilimuambia jamaa yangu mmoja asijaribu kununua kahaba, atajikuta mikononi mwa polisi. Makahaba mengini ni feki, ni askari polisi wa kike wapo kazini kwenye doria kunasa wanaume wanaonunua makahaba. Hata hivyo makahaba yenye ukiyapata ni shughuli pevu kuyashughulikia ipasavyo, yanadai uongeze hela huku shughuli ya kuridhika haijafanyika, wamekaa kitapeli hawana mapenzi ya kweli
Makonda aliwahi sema
Wala Rushwa, wezi, Mafisadi, wavivu ,wazembe na watu wa ovyo ovyo kama hao wanunuaji wa Malaya ,WANA UMOJA SANA
mimi kama nimeenda pale kulala kwa halali na sina mwanamke, wala nisingefungua. ningemwacha ahangaike hadi avunje mlango na ningemfukuza mbele ya kamera.Nilishangaa anawagongea milango na kuwaweka Chini ya Ulinzi. Kuna mmama alikuwa na mume wake ila hawakumsikiliza wakamuweka Chini ya Ulinzi na kuondoka naye
Wasalaam!
Baada ya Mkuu wa wilaya ya ubungo kuendesha zoezi la kukamata watu wanojiuza na wanao daiwa kununua makahaba wilayani humo!
Baadhi yao wamedai kufatwa nyumba za kulala wageni na kwenye vyumba vyao na kukamatwa wakituhumiwa kufanya biashara ya ukahaba uku wakidai kuwa wamesingiziwa na kudhalilishwa kwani walikuwa wamelala na wengine walikuwa na wapenzi wao wamepumzika!
Wameeleza kuwa wanajipanga wiki hii kufungua Mashitaka dhidi ya Mkuu wa wilaya binafsi na sio ofisi ya Mkuu wa wilaya kwani wao wanadai kuwa Mkuu wa wilaya ndio alikuwa ana washurutisha jeshi la polisi kuwadhalilisha na waandishi kuwapiga picha na wao hawakupewa nafasi ya kujieleza bali waliunganishwa na makahaba kwenye karandiga!
Wengine wamedai kuwa walikuwa wamelala ili kesho warudi kwa familia zao mikaoni wanashangaa kudhalilishwa na kufedheshwa na Bwana Yahaya aliyejitambulisha kama mkuu wa wilaya!
Wamesema wamesha waambia mawakili wao kumuandikia barua ya kumtaka mkuu wa wilaya kuwasafisha mbele ya jamii kama alivyo wadhalilisha na baada ya siku saba watafungua kesi ya madai dhidi ya Bwana Yahaya na baadhi ya polisi waliokuwa kwenye lile tukio!
N:B Mh Rais alishasema kama mkuu wa wilaya au mkoa akitumia madaraka vibaya yatakayomkuta yanamuhusu yeye sio serikali!
Pia soma:Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba
Na picha na video umechukuliwa na upo youtubu teyri si hatarii hii jamani🤣🤣🤣🤣Imagine uliipanga Pisi ije ukaitumia nauli.. ww ukatangulia huko GESTI..
Pisi yenyewe haikuja.. Nauli imeliwa bado na hao jamaa wakakubebelea kwenda kituoni😅.
Nendeni sehem za maana hzi Gesti za buku buku ndio shida yake hii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawakomeshaaa, safi sanaaaJamaa ni shoga sana,wiki iliyopita nimekimbia sana ili nisikamatwe nimepoteza hadi simu yangu
Mmeanzaaaa, sasa ushoga umekujaje hapaaa?Vita ya umalaya na ushoga ni kama vita ya madawa ya kulevya.