Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

Mmeanzaaaa, sasa ushoga umekujaje hapaaa?
mmmhh ahaa kumbeeeee..
unataka niseme umalaya tu?

Yani ni hiviii mkuu wa wilaya ya ubungo we pambana na malaya wote na wateja wao.
Ila usiwasahau mashoga, make sure nao unawatembelea na wakamatwe. Ukiona mahakaman kunaugumu. Kosa la uzembe na uzururaji linaingia kwa hao viumbe ambao ambao hawataki kufanya kazi ila kuzurura tu.

Yan nyooka nao sambamba
 
Kikubwa wanangu walitoka mapema, na Millard Ayo hajawapost, ajali kazini.
 
Hapo Bado wamiliki wa bar hawajafungua kesi🤣
Na wakifungua tuu. Tutawaelekeza watu wa biashara na afya na polisi wawe wanaenda kukagua vitabu vya wageni na kukagua wateja kama wameandikishwa 🤣🤣🤣
 
Tuna viongozi wajinga wajinga tu, na haya ni madhara ya VYEO VYA AHSANTE, huu ukuu wa wilaya, wa mkoa sijui ufanyike utaratibu, kuwe na sifa maalum na ni waajiriwa rasmi.
 
Hivi hii biashara ya ukahaba inazuia vipi nchi kufikia malengo yake ya maendeleo?
 
Jamaa angewaacha tu hawa wadada kiukweli wanapitia mengi kujiweka sawa kiuchumi hii kesi huyu mkuu anajimbua bure hakuna kesi hapo [emoji16][emoji16][emoji16] wacha watu wapakatane [emoji41][emoji41]
 
Wawe serous nipo pamoja nao
Hata madada.pia wanaweza mfungulia kesi na wakashinda na huenda wakalipwa fidia kubwa

Wakihitaji mwanasheria wa bure wanishirikishe tu nina connection kubwa sana tls pale
Tayari wamesharuka naye wanamdai B36 kwa kuwadhalilisha na kuwaweka rumande kwa siku 5. Ameyatimba huyu bwege
 
mmmhh ahaa kumbeeeee..
unataka niseme umalaya tu?

Yani ni hiviii mkuu wa wilaya ya ubungo we pambana na malaya wote na wateja wao.
Ila usiwasahau mashoga, make sure nao unawatembelea na wakamatwe. Ukiona mahakaman kunaugumu. Kosa la uzembe na uzururaji linaingia kwa hao viumbe ambao ambao hawataki kufanya kazi ila kuzurura tu.

Yan nyooka nao sambamba
VIgezo vya kuzurula ni vipi? Ili mtu aitwe mzururaji kisheria anapaswa kuwa na sifa zipi? Kuna mkuu wa mkoa aliwahi kusema atawakamata wabunge walioko dar kwa kosa la uzururaji
 
VIgezo vya kuzurula ni vipi? Ili mtu aitwe mzururaji kisheria anapaswa kuwa na sifa zipi? Kuna mkuu wa mkoa aliwahi kusema atawakamata wabunge walioko dar kwa kosa la uzururaji
Sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16 kifungu 176 na 177 majibu yote yako hapo
 
Vizuri ndio njia sahihi ya kutafsiri sheria. Serikali hii haitalipa hata ikishindwa, ina madeni mengi sana.
 
Mmoja alisababisha kifo cha raia kule Sinza mwaka jana. Hawa jamaa naona hawana priorities za kuamua agenda zipi ni muhimu kwa raia wa maeneo yao.
Sasa tangu lini vijana waliolelewa uvccm wakawa na akili?
 
Sababu wengine ni Malaya Feki Matapeli Wezi anakulambisha ku.ma kwenye mbo.o alafu anadai Hela ukimpa anakulambisha tena alafu dakika 2 nyingi anakwambia Muda umeisha ongeza hela anadai tena usipompa anaanza kuvaa sasa huo ni Wizi na utapeli kabisa
Umeandija kwA uchungu
 
Hawa viongozi wetu sijuwi akili zao ziko wapi?!
Hashughulikii tatizo la maji...

Hana habari na tatizo la miundombinu wilayani kwake...

Hata hajishugjilishi hata kuweka library, sehemu ya kucheza watoto, kupumzika, mabembea wala nini...

Kufikiria ngono ngono tu kama wenzake badala ya kufanya ya maana kama kukutana na wananchi wilayani kwake wamwambie kero zao. Bure kabisa kabisa kabisa 😡 😡 😡 😡
 
Back
Top Bottom