Waliokosa loarn board, appeals are out

Waliokosa loarn board, appeals are out

ngomicom

Senior Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
123
Reaction score
19
Ndugu zangu wa JF tafadhali sana naomba mnijuze kama wale applicants ambao walikosa kabisa mkopo for undergraduate (majina yao hayakutokea kwenye orodha yenye mapungu na hawakupata) wanaweza kukata rufaa?
 
Ndugu zangu wa JF tafadhali sana naomba mnijuze kama wale applicants ambao walikosa kabisa mkopo for undergraduate (majina yao hayakutokea kwenye orodha yenye mapungu na hawakupata) wanaweza kukata rufaa?

title na main body haviendani hata kidogo
:focus:
maana ya rufaa ni kupingana na hukumu kwa kutoa udhibitisho kua umeonewa, kwa hilo mkuu anaweza ku appeal, just tembelea OLAS Welcome kwa ku appeal
 
Rafiki ningeandika postive usingetoa comment, I won the deal
 
Back
Top Bottom