Waliokosa mkopo waongezeka mwaka huu wa 1013

Ndugu zangu mliokosa mkopo poeni sana8baomba muwe watulivu huenda bodi watatoa awamu nyingine,binafsi namshukuru mungu nimeoata asilimia mia,jaribuni kufatilia kama kuna jinsi mtaweza kuappeal huenda ikawa bahati yenu,tutakuw pamoja kwenye kipindi hiki cha kujua mwisho wenu,jaribuni kutoa updates kwa atakayepata any update kusudi wengine wajue yanayoendelea,POLENI SANA
 
Nchi hii inawaandaa ma Al shabaab. Watu wanaokatishwa tamaa ni rahisi sana kushawishiwa na kufanya mambo ya kushangaza. Nakumbuka serikal ilikuwa inajigamba kuwa watu wote walio na sifa watapewa mkopo. Hawa wote wametoka wapi?
 
Nchi hii inawaandaa ma Al shabaab. Watu wanaokatishwa tamaa ni rahisi sana kushawishiwa na kufanya mambo ya kushangaza. Nakumbuka serikal ilikuwa inajigamba kuwa watu wote walio na sifa watapewa mkopo. Hawa wote wametoka wapi?

kwel kabsa nahisi ndo maana vijana wengi watanzania wanajhusisha na biashara ya dawa za kulevya,kwa sababu wanakosa motivation ya kuwafikisha katika ndoto zao..itakua rahisi pia kujihusisha na makundi ya kigaidi...
 
Wanaandaa taifa la watu wasio wazalendo.
kwel kabsa nahisi ndo maana vijana wengi watanzania wanajhusisha na biashara ya dawa za kulevya,kwa sababu wanakosa motivation ya kuwafikisha katika ndoto zao..itakua rahisi pia kujihusisha na makundi ya kigaidi...
 
kama wanatakakutoza line buku kwa mwezi nahisi zingehamishiwa kwa wanafunzi kulipiwa mikopo
 
watu wamekoxa weng 2 ualim bhac n bora niombe kibarua kwa Al-shabaab o M23 n bora kujua unakufa kulko kufa umenyong'onyea naona mambo yamekuwa magumu cna hak labda ktk nchi hii na kukmbia kote kwnda ualm bdo nmekoxa inakera xana hii
 
Hao wamesoma shule za serikali au za private?
 
serikal even me nmekoxa iwapo n Education kata mwanzo mwixho na guys kbao ww acha 2 unaxhndwa ufanye nn
 
May God help al-shabab come in tz and attack HESLB
 
Hao wamesoma shule za serikali au za private?

Kwann umjudge mtu kutumia shule alizosoma..wengine darasa la saba hakuchaguliwa ikabidi aende private..kule kajikamua kafaulu kaenda government alevel...sasa akija kupata chuo unambagua..this z ----ing business
 
Kwann umjudge mtu kutumia shule alizosoma..wengine darasa la saba hakuchaguliwa ikabidi aende private..kule kajikamua kafaulu kaenda government alevel...sasa akija kupata chuo unambagua..this z ----ing business

Kama mtu ameweza kujikamua .... anaweza kujikamua hata chuo I'm sorry to say this.. kuna wengine hata hawawezi kabisaaa, ndio maana kwasababu walimu wanahitajika wengi mikopo inakua rahisi na medical schools ni more expensive very few can afford and we need more medical personnel.... The fact is you can pay 2M for secondary education and fail to pay 1.6M or 2.5M for college education!?
 
Kwann usiapply faculty zenye priority kama ualimu?? Tatizo vijana mnaudharau ualimu, sasa mtakula jeuri yenu!

we vipi? Angalia st joseph campus ya Arusha wote wamenyimwa, hizo sio priority? Kuna sayansi wengi udom wamenyimwa hao vipi?
 
Priority tena engineering coz nakosa mkopo hata 50%?? Shule zote za serikali nilizosoma na bado wamenichinjia baharini,

Kuna vigezo vingi wanacheki na kusoma serikali zote sio kigezo pekee cha kupata loan!! Embu chukulia mfano,nafasi imebak moja...wewe unawazazi na wote wanafanya kazi au biashara ...na mwingine hana wazazi wote au hana kabisa na huyo mzazi mmoja ni mkulima tena ana shamba robo eka!!! Na wote mnaenda engineering, UNADHANI HAPO UTAPEWA WEWE AU HUYO MWINGINE???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…