chance boy
Member
- Jul 10, 2015
- 58
- 22
Hebu nisaidieni serikali ina mpango gani na hao ambao hawajapata nafasi ya kusoma stashaada ya uwalimu UDOM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nisaidieni serikali ina mpango gani na hao ambao hawajapata nafasi ya kusoma stashaada ya uwalimu UDOM
dah hivi kuna waliokosa jamani???
na waliokosa wapo wangapi?? mbona serikali yetu inatuvunja matumaini sisi wanafunzi
Hv mwanafunz wa fm 4 akiapply stashahada ya ualimu UDOM atapata? naombeni mwongozo nimsaidie mdogo wangu
ufaulu wake ukoje kwanza ?
1.4 pass
naomba kuuliza waliopangiwa udom elimu wanaenda lini?