Waliokua mateka wa HAMAS wasimulia walichokua wanafanyiwa

Waliokua mateka wa HAMAS wasimulia walichokua wanafanyiwa

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Jamaa walipitia mateso sana, ila ingekua vizuri Israel ikawakagua kwa karibu na kuwafuatilia isijetokea walisilimishwa na kuwa misukule ya dini ile ambapo wanaweza wakajilipua humo humo Israel.

Mtu akishajiunga ule ushetani akili humhama, uzalendo unamtoka, atasahau hata wazazi na taifa lake, na haitakua ngumu kwa wao kujilipua.

Kwa kifupi wasiaminiwe sana hadi wakaguliwe kwa umakini mkubwa..............
Tunao hata humu JF, unakuta mtu anajiita Mtanzania ila anashabikia mauaji yaliyofanywa kwa Watanzania pale Israel.
===========================

'Physical and mental torture': Former hostages experienced abuse in Hamas captivity - WSJ
Three of the recently rescued hostages share parts of their captivity ordeal, showing resilience and strength despite their harrowing physical and mental torture experiences.

Details of an investigation into the daily lives of the freed hostages in the Gaza Strip, Almog Meir Jan, Andrey Kozlov, and Shlomi Ziv, were published in The Wall Street Journal (WSJ) on Wednesday morning.

According to the report, the three rescued hostages lived in a dark room for six months, sleeping on small mattresses on the floor. Their only connection to the outside world was through guards who brought them food and would occasionally abuse them.

The former hostages shared that they could hear the Gazan family living downstairs, including their children, but they never met them. However, one day, when the family went out, they were allowed to go downstairs and use the kitchen.


Hawa akina brazaj
 
Jamaa walipitia mateso sana, ila ingekua vizuri Israel ikawakagua kwa karibu na kuwafuatilia isijetokea walisilimishwa na kuwa misukule ya dini ile ambapo wanaweza wakajilipua humo humo Israel. Mtu akishajiunga ule ushetani akili humhama, uzalendo unamtoka, atasahau hata wazazi na taifa lake, na haitakua ngumu kwa wao kujilipua.
Kwa kifupi wasiaminiwe sana hadi wakaguliwe kwa umakini mkubwa..............
Tunao hata humu JF, unakuta mtu anajiita Mtanzania ila anashabikia mauaji yaliyofanywa kwa Watanzania pale Israel.
===========================

'Physical and mental torture': Former hostages experienced abuse in Hamas captivity - WSJ​

Three of the recently rescued hostages share parts of their captivity ordeal, showing resilience and strength despite their harrowing physical and mental torture experiences.​

Details of an investigation into the daily lives of the freed hostages in the Gaza Strip, Almog Meir Jan, Andrey Kozlov, and Shlomi Ziv, were published in The Wall Street Journal (WSJ) on Wednesday morning.

According to the report, the three rescued hostages lived in a dark room for six months, sleeping on small mattresses on the floor. Their only connection to the outside world was through guards who brought them food and would occasionally abuse them.

The former hostages shared that they could hear the Gazan family living downstairs, including their children, but they never met them. However, one day, when the family went out, they were allowed to go downstairs and use the kitchen.


Hawa akina brazaj
Israel wako sahihi kwa hicho wanachofanya.
 
Imenikumbusha TV series ya homeland ambayo marine Sgt. Nicolas Brody baada ya kua captive Kwa eight years magaidi waliweza kum turn na alipo kombolewa akarudi home Kama shujaa kumbe ilikua ni planned jamaa kukombolewa ili akafanye ujasusi (espionage) kwenye ardhi ya America

jamaa aliwekwa under CIA surveillance Kwa masaa 24 achana na vitendo alivo fanya even kila tamshi alilo kua akiongea lilifuatiliwa neno kwa neno guess what akaja kudakwa Ana connection na terror plotting kwenye ardhi ya America

Bonge Moja la TV show
 
Jamaa walipitia mateso sana, ila ingekua vizuri Israel ikawakagua kwa karibu na kuwafuatilia isijetokea walisilimishwa na kuwa misukule ya dini ile ambapo wanaweza wakajilipua humo humo Israel.

Mtu akishajiunga ule ushetani akili humhama, uzalendo unamtoka, atasahau hata wazazi na taifa lake, na haitakua ngumu kwa wao kujilipua.

Kwa kifupi wasiaminiwe sana hadi wakaguliwe kwa umakini mkubwa..............
Tunao hata humu JF, unakuta mtu anajiita Mtanzania ila anashabikia mauaji yaliyofanywa kwa Watanzania pale Israel.
===========================

'Physical and mental torture': Former hostages experienced abuse in Hamas captivity - WSJ
Three of the recently rescued hostages share parts of their captivity ordeal, showing resilience and strength despite their harrowing physical and mental torture experiences.

Details of an investigation into the daily lives of the freed hostages in the Gaza Strip, Almog Meir Jan, Andrey Kozlov, and Shlomi Ziv, were published in The Wall Street Journal (WSJ) on Wednesday morning.

According to the report, the three rescued hostages lived in a dark room for six months, sleeping on small mattresses on the floor. Their only connection to the outside world was through guards who brought them food and would occasionally abuse them.

The former hostages shared that they could hear the Gazan family living downstairs, including their children, but they never met them. However, one day, when the family went out, they were allowed to go downstairs and use the kitchen.


Hawa akina brazaj
Hatari...
 
Acha blabla za kitumwa,waarabu wenyewe hawakutambui hata kama unatokea kwa yule afande kisiwani.
Sisi Waislam hatuna tofouti na wengine zaidi ya taqwa unajua taqwa?

Nikusali kwa ukakamavu na kumtii Mungu peke yake na mafundisho aliye tuletea kwa kutumia Quran takatifu, kuwa na tabia njema, kuheshimu wazazi wako, Jirani zako, kutoa sadaka, kukataza mabaya na kufata suna sahihi za Mtume Muhammad sio hadith fake
 
Hehehehe Sijui huwa mnalishwa nini humo, akili huwahama kabisa yaani unakua kitu ambacho hakieleweki, hutumii ubongo tena, unaweza ukajilipua bomu hata ndani ya ndugu zako wakiwemo wazazi.
Hao mateka inapaswa wasirudishwe kwa ndugu kwanza, wapelekwe sehemu waishi wenyewe kwenye vyumba vyenye kamera kila kona na vinasa sauti, akiskika mmoja anabwatuka yale mavitu yenu au anabinuka, basi huyo moja kwa moja ni gaidi, keshalishwa hayo kile huwa mnalishwa.

Dini gani yenye maandiko kama haya kama sio ushetani, eti wakatwe vichwa wote wasioiamini, hapa naleta andiko kabisa kama lilivyo....
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
hizo akili nadhani na za kwako zimehama pia muyahudi mweusi.
 
We shoga muangalie yule matekwa wa kisrael wakike alivyo pendeza, kwa namna alivyo wekwa kwenye mazingara mazuri anakuambia mpaa shopping alikuwa akienda, anatazama TV ana ishi kwenye nyumba ya family anacheka nao alikuwa free kabisa.

Sa katazama mashoga wanavyo watesa wale raia wa Palestine ni balaa, huyu kavunjika mikono, huyu hana mikono, huyu kakatwa sikia, huyu kachomwa moto, huyu kacharazwa fimbo yani vitu vya ajabu hata wanyama hawafanyieni hivyo.
Hao waarabu sisi wengine hatuwataki kabisa na wauliwe tu mijitu mikatili hiyo, wametuulia watanzania wetu kinyama kabisa.

Israel ua hao magaidi wote, idadi ya waliokufa haijafika hata laki.❗❗
 
Ni jambo la kawaida tu kupata mateso unapokuwa kwenye mikono ya adui yako
 
Yule ustaazi wa madrasa alielawiti watoto zaidi ya 15 kule Mafia nae alitokea kanisani sio?
We hujui wako Wakristo wamehifadhi Qur'an kuliko Waislam, alikuwepo Mmasiri moja anasalisha kabisa nchi ya kiarabu kule Oman tena alikuwa Imam anasifiwa kwa sauti ya kusoma Qur'an

Wengi walikuwa wanaenda kusali siku ya Ijumaa kwa namna anavyo isoma Qur'an, kumbe lilikuwa likristo tena jina lake alikuwa John. na alipo kuwa Oman akisalisha jina lake alikuwa akitwa Ustadhi Abdulrahman.


S
Sa kuna watu wa Oman walienda Misri wakamkuta kavaa msalaba wakashangaa, wakamuliza we si Ustadhi Abdulrahman, akasema hapana lile ni jina la kazi, jina langu ni John na mimi ni mkristo.
Akawambia unapo tafuta pesa lazima utafute njia ya kupata kazi, na niliona bora niende uarabuni ili niwe Imam na mshahara ulikuwa mzuri.

Sa huyo ustadhi anaweza kuwa kama wewe mkristo kahifadhi Qur'an, kwani we unadhani hakuna Waislam wamehifadhi bibilia kuliko wewe.

Huyo lazima wakimchunguza atakuwa mkristo, Uislam ni mbali kabisa na hayo matendo ya kanisani.
 
Sisi Waislam hatuna tofouti na wengine zaidi ya taqwa unajua taqwa?

Nikusali kwa ukakamavu na kumtii Mungu peke yake na mafundisho aliye tuletea kwa kutumia Quran takatifu, kuwa na tabia njema, kuheshimu wazazi wako, Jirani zako, kutoa sadaka, kukataza mabaya na kufata suna sahihi za Mtume Muhammad sio hadith fake

Mna utofauti na wengine maana nyie mnaamini kwenye kukata watu vichwa kisa muarabu aliwaagiza kwenye dini yake.
 
hizo akili nadhani na za kwako zimehama pia muyahudi mweusi.

Sio za kwangu maana hapa nakupa kabisa maandiko yanayodhihirisha nyie ni waabudu shetani
Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
 
We hujui wako Wakristo wamehifadhi Qur'an kuliko Waislam, alikuwepo Mmasiri moja anasalisha kabisa nchi ya kiarabu kule Oman tena alikuwa Imam anasifiwa kwa sauti ya kusoma Qur'an

Wengi walikuwa wanaenda kusali siku ya Ijumaa kwa namna anavyo isoma Qur'an, kumbe lilikuwa likristo tena jina lake alikuwa John. na alipo kuwa Oman akisalisha jina lake alikuwa akitwa Ustadhi Abdulrahman.


S
Sa kuna watu wa Oman walienda Misri wakamkuta kavaa msalaba wakashangaa, wakamuliza we si Ustadhi Abdulrahman, akasema hapana lile ni jina la kazi, jina langu ni John na mimi ni mkristo.
Akawambia unapo tafuta pesa lazima utafute njia ya kupata kazi, na niliona bora niende uarabuni ili niwe Imam na mshahara ulikuwa mzuri.

Sa huyo ustadhi anaweza kuwa kama wewe mkristo kahifadhi Qur'an, kwani we unadhani hakuna Waislam wamehifadhi bibilia kuliko wewe.

Huyo lazima wakimchunguza atakuwa mkristo, Uislam ni mbali kabisa na hayo matendo ya kanisani.

Mlianza kitambo sana huo uchafu, ndio maana Pwani mnafunuana sana.

Hadith Idadi 16,245: "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan
 
Jamaa walipitia mateso sana, ila ingekua vizuri Israel ikawakagua kwa karibu na kuwafuatilia isijetokea walisilimishwa na kuwa misukule ya dini ile ambapo wanaweza wakajilipua humo humo Israel.

Mtu akishajiunga ule ushetani akili humhama, uzalendo unamtoka, atasahau hata wazazi na taifa lake, na haitakua ngumu kwa wao kujilipua.

Kwa kifupi wasiaminiwe sana hadi wakaguliwe kwa umakini mkubwa..............
Tunao hata humu JF, unakuta mtu anajiita Mtanzania ila anashabikia mauaji yaliyofanywa kwa Watanzania pale Israel.
===========================

'Physical and mental torture': Former hostages experienced abuse in Hamas captivity - WSJ
Three of the recently rescued hostages share parts of their captivity ordeal, showing resilience and strength despite their harrowing physical and mental torture experiences.

Details of an investigation into the daily lives of the freed hostages in the Gaza Strip, Almog Meir Jan, Andrey Kozlov, and Shlomi Ziv, were published in The Wall Street Journal (WSJ) on Wednesday morning.

According to the report, the three rescued hostages lived in a dark room for six months, sleeping on small mattresses on the floor. Their only connection to the outside world was through guards who brought them food and would occasionally abuse them.

The former hostages shared that they could hear the Gazan family living downstairs, including their children, but they never met them. However, one day, when the family went out, they were allowed to go downstairs and use the kitchen.


Hawa akina brazaj
Wateswaji hawawezi wakawa vie. Wamenawili, wasafi ba tabasamu lisiloisha. Tusidanyanyane

Hilo la kusema wameteswa ni propaganda za Israeli kutaka kuichafua hamas kwani huko nyuma kuna mateka alioachiwa na alipoojiwa hadharani alesema alitendewa wema sana na Israel ilichukia sana na kusitisha kuwaoji mateka hadharani
 
Back
Top Bottom