Waliokua mateka wa HAMAS wasimulia walichokua wanafanyiwa

Waliokua mateka wa HAMAS wasimulia walichokua wanafanyiwa

Wateswaji hawawezi wakawa vie. Wamenawili, wasafi ba tabasamu lisiloisha. Tusidanyanyane

Hilo la kusema wameteswa ni propaganda za Israeli kutaka kuichafua hamas kwani huko nyuma kuna mateka alioachiwa na alipoojiwa hadharani alesema alitendewa wema sana na Israel ilichukia sana na kusitisha kuwaoji mateka hadharani
Mwarabu hawezi akakuteka halafu akaacha kukutesa na kwa kuzingatia kwamba wao ni jamii ya watu wenye asili ya ukatili, rejea biashara haramu ya utumwa walivyo wahasi wanaume wa kiafrika ili mradi kufuta uzao wao.

Mwarabu mzuri ni yule aliyekufa tu.

 
Mwarabu hawezi akakuteka halafu akaacha kukutesa na kwa kuzingatia kwamba wao ni jamii ya watu wenye asili ya ukatili, rejea biashara haramu ya utumwa walivyo wahasi wanaume wa kiafrika ili mradi kufuta uzao wao.

Mwarabu mzuri ni yule aliyekufa tu.

Sawa unasema mwarabu alikuwa anafanya biashara ya utumwa, wanunuzi wa hiyo biashara ni akina nani?
 
Imenikumbusha TV series ya homeland ambayo marine Sgt. Nicolas Brody baada ya kua captive Kwa eight years magaidi waliweza kum turn na alipo kombolewa akarudi home Kama shujaa kumbe ilikua ni planned jamaa kukombolewa ili akafanye ujasusi (espionage) kwenye ardhi ya America

jamaa aliwekwa under CIA surveillance Kwa masaa 24 achana na vitendo alivo fanya even kila tamshi alilo kua akiongea lilifuatiliwa neno kwa neno guess what akaja kudakwa Ana connection na terror plotting kwenye ardhi ya America

Bonge Moja la TV show
Mie aliponyongwa tu nikapoteza interest nayo make yeye ndo alkua anainogesha hii series!
 
Matrak gani mnaongelea Mayahudi bado yanapewa kifiko* na Mwarabu na wamesema hawataawaachia kamwe hadi mwana hizaya aseme hatarudia kuishambulia gaza halafu unakuja hapa na porojo za CNN Eti mateka wameachiwa??unawajua HAMAS the holly army’s 😂😂😂
 
Back
Top Bottom