CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
kama tulio hai ni zaidi ya watu 8B, basi waliokufa ni mara 100 ya sisi tulio hai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ninajua hicho kidogo tuAlchemy niliisoma japo sikuweza kuimalizia. Ebu jaribu kuongezea maelezo zaidi ili kuelimisha umma
pole sana huna akiliTakwimu zinaonesha 9.5% ya watu 1000 hufariki kila Mwaka Duniani kote,hiyo ni sawa na watu 95 .Je katika Wanawake 1000 watoto wangapi wanaweza kuzaliwa kwa Mwaka?
Kama waliokufa au wanaokufa ndio wengi kuliko tuliopo Duniani why population katika kila nchi huongezeka Mwaka hadi Mwaka?
So,hitimisho ni kuwa Watu walio hai ni wengi zaidi kuliko waliokufa.