Waliokulia udogoni na Paul Pogba walazimisha awalipe fadhila

Waliokulia udogoni na Paul Pogba walazimisha awalipe fadhila

Huyo jamaa kapotosha, Adebayo alifanya kila kitu kwa ndugu zake lakini hawana shukrani,
Ilikua mtu hataki kufanya kazi kwa vile anatumiwa pesa na Adebayo

Adebayo aliwaita ndugu zake akawauliza, tufanye nini kama familia ili mambo yetu wote yasiende mlama. Mtu wa kwanza kutoa ushauri kwenye kikao kasema, haa mimi sitaki chochote, nataka unipe hela yangu tu kila mwezi mambo yangu ntajua mwenyewe.
 
Kweli kabisa mkuu hata washikaji zake samata pale mbagala wameoa na wanafamilia ila ilikuwa wanamuomba hela mara kwa mara samata ikabidi akawaambia wa organize watafute kitu cha kufanya atawasaidia ndo wakaja na wazo la SAMAKIBA FOUNDATION wanaoendesha lile tamasha ni marafiki zake samata alio soma nao na kukua nao mtaa mmoja pesa wanachukua wao ila wale wachezaji wanalipwa hela ya mafuta maana ni charity game ila waafrika wote tunafanana tunatofautiana maeneo tunayotoka tu.
Bora hata hao wana akili
waliwaza vema sana..
 
Sio kweli alikuwa anawatumia hela nyumbani kwao wamjengee nyumba alipokuja likizo hakuna nyumba wala kiwanja akawasamehe ndo akapunguza kuwatumia hela.
Waafrika hatubebeki kwa mfano:–

Mbwana samatta nyumbani kwao kuna gari tatu
Zimeshaanza kuharibika ukipita nje kwao unaziona ndugu zake aliwafungulia biashara aliwaambia waweke gari mafuta waendeshe ila zikawashinda zipo zinakula jua zimechoka kweli, kweli na samata huyo aliwatumia ndugu zake ramani ya nyumba wamjengee alivyorudi akakuta tofauti akaishisha chini akaanza upya kujenga.

Samata hyo hyo aliwaaachiaa ndugu zake coaster wasimamie ila zikiharibika bado wanamuomba hela yeye akahamishia kwa mke wake hisabu
Yaani waafrika sisi tuna matatizo mengi sana yaani ndugu mmoja akifanikiwa basi wengine wote hawafanyi kazi wanamtegemea mtu mmoja tu aendeshe familia na shukrani hawana.
Hatuwezi endelea kama taifa. Ila individually mmoja mmoja unaweza kutoka ila juhudi za kurudisha nyuma zitafanyika hasa kwa kurogwa.
 
Uwe na pesa kiasi gani.
Uwe na kipaji kikubwa gani.
Uwe ni star kiasi gani.
Uwe unaishi bara gani..
Haijalishi una kipi kikubwa lakini kama ni african!!!!! ASILI itakufuata tu...
AFRICA TUNAMAMBO YETU YA KIAFRIKA HATA UENDE WAPI,YATAKUFATA TU
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sio kweli alikuwa anawatumia hela nyumbani kwao wamjengee nyumba alipokuja likizo hakuna nyumba wala kiwanja akawasamehe ndo akapunguza kuwatumia hela.
Waafrika hatubebeki kwa mfano:–

Mbwana samatta nyumbani kwao kuna gari tatu
Zimeshaanza kuharibika ukipita nje kwao unaziona ndugu zake aliwafungulia biashara aliwaambia waweke gari mafuta waendeshe ila zikawashinda zipo zinakula jua zimechoka kweli, kweli na samata huyo aliwatumia ndugu zake ramani ya nyumba wamjengee alivyorudi akakuta tofauti akaishisha chini akaanza upya kujenga.

Samata hyo hyo aliwaaachiaa ndugu zake coaster wasimamie ila zikiharibika bado wanamuomba hela yeye akahamishia kwa mke wake hisabu
Yaani waafrika sisi tuna matatizo mengi sana yaani ndugu mmoja akifanikiwa basi wengine wote hawafanyi kazi wanamtegemea mtu mmoja tu aendeshe familia na shukrani hawana.
Dadeki hii ni laana sio bure [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Kweli kabisa mkuu hata washikaji zake samata pale mbagala wameoa na wanafamilia ila ilikuwa wanamuomba hela mara kwa mara samata ikabidi akawaambia wa organize watafute kitu cha kufanya atawasaidia ndo wakaja na wazo la SAMAKIBA FOUNDATION wanaoendesha lile tamasha ni marafiki zake samata alio soma nao na kukua nao mtaa mmoja pesa wanachukua wao ila wale wachezaji wanalipwa hela ya mafuta maana ni charity game ila waafrika wote tunafanana tunatofautiana maeneo tunayotoka tu.
Aiseee [emoji16]
 
Adebayo aliwaita ndugu zake akawauliza, tufanye nini kama familia ili mambo yetu wote yasiende mlama. Mtu wa kwanza kutoa ushauri kwenye kikao kasema, haa mimi sitaki chochote, nataka unipe hela yangu tu kila mwezi mambo yangu ntajua mwenyewe.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Eti hela yake, bad enough ktk Hilo saga mama yake mzazi nae yupo
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Eti hela yake, bad enough ktk Hilo saga mama yake mzazi nae yupo

Waafrika akili zetu sijui zipoje. Kisa kama hicho ndugu yetu mmoja alikuwa anaumwa anahiji kufanyiwa operesheni. Mwenyewe hana kitu,tukajipanga kumpeleka hospitality, akadai nipeni hela zangu hospitali ntaenda Mwenyewe. Tukamuuliza hela zako kivipi? Alitaka akapigie pombe tu.
 
Adebayo aliwaita ndugu zake akawauliza, tufanye nini kama familia ili mambo yetu wote yasiende mlama. Mtu wa kwanza kutoa ushauri kwenye kikao kasema, haa mimi sitaki chochote, nataka unipe hela yangu tu kila mwezi mambo yangu ntajua mwenyewe.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo ya uswazi nilijua bongo tu duh!
 
Ni kwamba pogba alishaendaga na masela zake kwa mganga(kitambo) ili wamroge MBAPPE na aliewapeleka kwa mganga ni kaka yake pogba(florent)..sasa masela wanalazmisha mkwanja ili wafiche siri,WAHUNI WANA NJAA SANA YAN MTU ALIPWE POUND 350K+ PER WEEK,ANAGAWA NUSU YA PESA YAKE ANAWAPA,BADO WAMUIBIE HALAFU BADO WAJAZANE KWENYE KA LAMBORGHINI KAMOJA DHARAU SANA..halafu anaesuka mipango ni kaka wakuzaliwa
Thats all Monkey can do best
 
Sio kweli alikuwa anawatumia hela nyumbani kwao wamjengee nyumba alipokuja likizo hakuna nyumba wala kiwanja akawasamehe ndo akapunguza kuwatumia hela.
Waafrika hatubebeki kwa mfano:–

Mbwana samatta nyumbani kwao kuna gari tatu
Zimeshaanza kuharibika ukipita nje kwao unaziona ndugu zake aliwafungulia biashara aliwaambia waweke gari mafuta waendeshe ila zikawashinda zipo zinakula jua zimechoka kweli, kweli na samata huyo aliwatumia ndugu zake ramani ya nyumba wamjengee alivyorudi akakuta tofauti akaishisha chini akaanza upya kujenga.

Samata hyo hyo aliwaaachiaa ndugu zake coaster wasimamie ila zikiharibika bado wanamuomba hela yeye akahamishia kwa mke wake hisabu
Yaani waafrika sisi tuna matatizo mengi sana yaani ndugu mmoja akifanikiwa basi wengine wote hawafanyi kazi wanamtegemea mtu mmoja tu aendeshe familia na shukrani hawana.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom