Waliokulia udogoni na Paul Pogba walazimisha awalipe fadhila

Huyo jamaa kapotosha, Adebayo alifanya kila kitu kwa ndugu zake lakini hawana shukrani,
Ilikua mtu hataki kufanya kazi kwa vile anatumiwa pesa na Adebayo

Adebayo aliwaita ndugu zake akawauliza, tufanye nini kama familia ili mambo yetu wote yasiende mlama. Mtu wa kwanza kutoa ushauri kwenye kikao kasema, haa mimi sitaki chochote, nataka unipe hela yangu tu kila mwezi mambo yangu ntajua mwenyewe.
 
Bora hata hao wana akili
waliwaza vema sana..
 
Hatuwezi endelea kama taifa. Ila individually mmoja mmoja unaweza kutoka ila juhudi za kurudisha nyuma zitafanyika hasa kwa kurogwa.
 
Uwe na pesa kiasi gani.
Uwe na kipaji kikubwa gani.
Uwe ni star kiasi gani.
Uwe unaishi bara gani..
Haijalishi una kipi kikubwa lakini kama ni african!!!!! ASILI itakufuata tu...
AFRICA TUNAMAMBO YETU YA KIAFRIKA HATA UENDE WAPI,YATAKUFATA TU
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Dadeki hii ni laana sio bure [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Aiseee [emoji16]
 
Adebayo aliwaita ndugu zake akawauliza, tufanye nini kama familia ili mambo yetu wote yasiende mlama. Mtu wa kwanza kutoa ushauri kwenye kikao kasema, haa mimi sitaki chochote, nataka unipe hela yangu tu kila mwezi mambo yangu ntajua mwenyewe.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Eti hela yake, bad enough ktk Hilo saga mama yake mzazi nae yupo
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Eti hela yake, bad enough ktk Hilo saga mama yake mzazi nae yupo

Waafrika akili zetu sijui zipoje. Kisa kama hicho ndugu yetu mmoja alikuwa anaumwa anahiji kufanyiwa operesheni. Mwenyewe hana kitu,tukajipanga kumpeleka hospitality, akadai nipeni hela zangu hospitali ntaenda Mwenyewe. Tukamuuliza hela zako kivipi? Alitaka akapigie pombe tu.
 
Adebayo aliwaita ndugu zake akawauliza, tufanye nini kama familia ili mambo yetu wote yasiende mlama. Mtu wa kwanza kutoa ushauri kwenye kikao kasema, haa mimi sitaki chochote, nataka unipe hela yangu tu kila mwezi mambo yangu ntajua mwenyewe.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo ya uswazi nilijua bongo tu duh!
 
Thats all Monkey can do best
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…