Waliokulia udogoni na Paul Pogba walazimisha awalipe fadhila

Ngozi nyeusi ni shida sana,ukiwa nacho shida usipokuwa nacho shida, wivu,chuki,husda roho mbaya vimetujaa
Utakuta hao ndugu walikuwa hawajishugulishi wao wanajua ndg yao akiwarushia pesa wao ni kutumbua tu kula raha

Ova
 
SAMAKIBA FOUNDATION unamaanisha Ni ulaji shekhe?
Ni project ya washikaji zake samata na kiba ndo wanasimamia kila kitu wachezaji wanalipwa posho za usafiri maana wao wenyewe wanajua ni charity game.
 
Dhambi ya kumpa mtu hela ya bure haina msamaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…