- Thread starter
- #21
Hayo mtayajua nyie! Netanyahu kazi yake ni kutandika magaidi ya hamas
"Nyie," ukimaanisha mateka na ndugu wenye mateka wao siyo?
Basi sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mtayajua nyie! Netanyahu kazi yake ni kutandika magaidi ya hamas
Unaripoti ukiwa wapi wewe myahudi wa mianziniHayo mtayajua nyie! Netanyahu kazi yake ni kutandika magaidi ya hamas
Wewe mwenzagu unaripoti kutokea warabuni wapi hapo?Unaripoti ukiwa wapi wewe myahudi wa mianzini
Wewe mwenzagu unaripoti kutokea warabuni wapi hapo?
Tukiwaambia kina MK254 kua hamas ni kundi teule awe anaelewa
Kwasasa hakuna propaganda ambayo western israhell na shost zake wataipiga dhidi ya hamas ikakubaliwa
Uzuri wa haya majambo yanakuja wakati mzuri sana wakati ambao dunia ililishwa sana propaganda huko nyuma nawakaziamini ila kwasasa majambo yamekua tofauti sana
Kwasasa watu wanajua kuchuja majambo sio kumezeshwa tu kama ilivyokua zamani wakati wanaivamia Iraq kwamadai kwamba ipo na atomic bomb [emoji378] halaf ikawa porojo
Umeona lile igizo lao lakua eti hospital ya alshifaa ilikua inatumika kama sehem yakujifichia hamas iliishia wapi
Kwasasa watu wataisikiliza BBC NBC CNN Deutsche well nk ila baadae watakaa chini waanze kupembua mchele uko wapi na chuya
Naona mara hii wamehamia kwa pally wood ila napo wamestukiwa hawa wapuuzi wakubwa
Hamas kamatieni hapo hapo
Yaani mauchafu yote mlifanya, mpigwe tu...
Sikujua huwa unaandika insha, wala sijasoma, mpigwe Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama
Uzoefu unaonyesha wenye kujinadi kutosoma huwa wamesoma na kuguswa. Yaani ni two in one!
Unatesekasana wewe mbumbumbu lkn ukweli mizayuni haitashindaKuandika andika humu mngeandika wakati hayo magaidi yanafanyia unyama kwa Wayahudi, kichapo kimebadilishwa mnajifanya kuandika viinsha...takbir....usicheze na Myahudi siku nyingine.
Haya mapicha hayawasaidii kitu, mtapigwa kwa ujinga wenu huo...
Unatesekasana wewe mbumbumbu lkn ukweli mizayuni haitashinda
Kuandika andika humu mngeandika wakati hayo magaidi yanafanyia unyama kwa Wayahudi, kichapo kimebadilishwa mnajifanya kuandika viinsha...takbir....usicheze na Myahudi siku nyingine.
Tuonyeshe maiti ya ndugu yetu mmoja wa Hamas aliyeuawa na mashoga wenzio tukupe laki Sasa hivi! Mizayuni inakwisha huko mbumbumbu weweMabwana zako wanalia huku wewe ukijitapa Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama
Watu wanakufa huko kama nzige wewe panya unaleta Umbea wa kijiwenongwa.Ama kweli la kuvunda halina ubani. Yamesikika mengi kuhusu ugaidi na ufwedhuli wa wapalestina na HAMAS.
Kwamba HAMAS ni wauaji, wabakaji, magaidi, wenye kutumia mahospitali kama vituo vya kijeshi, wanyama wasiostahili kuishi duniani na eti kuwa walaumiwe wao kwa vita hivi huko Gaza.
Kwenye mkutano wao na baraza la vita ambao amekuwa akiukimbia kwa muda mrefu, waliokuwa mateka Gaza wamemjia juu waziri mkuu huyu mwongo mwongo sana. Ya kuwa kumbe ni jongo, lisilokuwa na huruma wala kuyajali yakiwamo madhila ya mateka wanaobakia Gaza.
Kwamba jongo jongo hili halifai hata kuwepo madarakani. Liondoke, nchi iendeshwe na wenye kujali ustawi wa watu wakiwamo hata wasiokubaliana nao.
View attachment 2834459
Barua za shukurani toka kwa waliokuwa mateka kwenda HAMAS zimeonekana. Afya ya miili ya mateka miezi 2 wakiwa kifungoni wengine na vijibwa vyao zimeonekana. Shuhuda za mateka kuwahusu HAMAS zimesikika.
Natenyahu na tuhuma zake mpya kuwa HAMAS walibaka, ila waliobakwa walikufa, hizo labda kama ni za kuwaambia mbuzi.
Kwa hakika waliokuwa mateka na wasikilizwe!
Watu wanakufa huko kama nzige wewe panya unaleta Umbea wa kijiwenongwa.
Hivi nyie wavaa Kobaz akili zenu zipo eneo Gani?
CNN, MSNBC wala sitizami tena wanafki sana.Tukiwaambia kina MK254 kua hamas ni kundi teule awe anaelewa
Kwasasa hakuna propaganda ambayo western israhell na shost zake wataipiga dhidi ya hamas ikakubaliwa
Uzuri wa haya majambo yanakuja wakati mzuri sana wakati ambao dunia ililishwa sana propaganda huko nyuma nawakaziamini ila kwasasa majambo yamekua tofauti sana
Kwasasa watu wanajua kuchuja majambo sio kumezeshwa tu kama ilivyokua zamani wakati wanaivamia Iraq kwamadai kwamba ipo na atomic bomb [emoji378] halaf ikawa porojo
Umeona lile igizo lao lakua eti hospital ya alshifaa ilikua inatumika kama sehem yakujifichia hamas iliishia wapi
Kwasasa watu wataisikiliza BBC NBC CNN Deutsche well nk ila baadae watakaa chini waanze kupembua mchele uko wapi na chuya
Naona mara hii wamehamia kwa pally wood ila napo wamestukiwa hawa wapuuzi wakubwa
Hamas kamatieni hapo hapo