Waliokuwa mateka Gaza wamuumbua Netanyahu


Sikujua huwa unaandika insha, wala sijasoma, mpigwe Wapalestina Gaza wagaragazwa wenzao wanaangalia tu. Huu ni unyama
 
Uzoefu unaonyesha wenye kujinadi kutosoma huwa wamesoma na kuguswa. Yaani ni two in one!

Kuandika andika humu mngeandika wakati hayo magaidi yanafanyia unyama kwa Wayahudi, kichapo kimebadilishwa mnajifanya kuandika viinsha...takbir....usicheze na Myahudi siku nyingine.
 
Kuandika andika humu mngeandika wakati hayo magaidi yanafanyia unyama kwa Wayahudi, kichapo kimebadilishwa mnajifanya kuandika viinsha...takbir....usicheze na Myahudi siku nyingine.
Unatesekasana wewe mbumbumbu lkn ukweli mizayuni haitashinda
 
Kuandika andika humu mngeandika wakati hayo magaidi yanafanyia unyama kwa Wayahudi, kichapo kimebadilishwa mnajifanya kuandika viinsha...takbir....usicheze na Myahudi siku nyingine.

Maneno ya wahanga ni rasmi:



Wenye watu wao huko hawalali ila zile mbuzi koko.
 
Watu wanakufa huko kama nzige wewe panya unaleta Umbea wa kijiwenongwa.

Hivi nyie wavaa Kobaz akili zenu zipo eneo Gani?
 
CNN, MSNBC wala sitizami tena wanafki sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…