Waliokuwa mstari wa mbele kudai Katiba Mpya baada ya kupata vyeo leo wanaipinga

Waliokuwa mstari wa mbele kudai Katiba Mpya baada ya kupata vyeo leo wanaipinga

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Wakati wa Mchakato wa KATIBA MPYA mwaka 2011, Bwana Humphrey Polepole na Bw. Kabudi Walikuwa Miongoni ya Wajumbe wa ile Tume ya Warioba. Watu hawa Walikuwa Mstari wa mbele sana kuhakikisha mchakato ule unafanikiwa.

Kwa Bahati Mbaya mahafidhina wakauharibu ule Mchakato na Katiba Mpya haikupatikana.

Hivi Sasa Bw.Kabudi ni Waziri na Bw.Polepole ni Mbunge. Cha kushangaza Watu hao Wamekuwa miongoni wa wapinga Katiba Mpya na kudai Katiba iliyopo ni imara.

Swali la Msingi:

Je, kipindi kile Walitaka Katiba Mpya kwa kuwa hawakuwa Mawaziri au Wabunge?

Je, Kipindi hiki Wanapinga Katiba Mpya kwa kuwa ni Waziri au Mbunge?
 
Ndio ujue sasa hata wanaopiga kelele za katiba wanatafuta vyao maana itawawezesha kupatapo chochote.

Umemsikia common people akidai katiba? Hao ni wasaka tonge tuu kama wengine.
 
Kipindi ambacho katiba ilikua haikidhi
E5X5CbmXwAQjz78.jpeg
 
Tumuombe mama yetu Mh SSH aipitishe katiba mpya.

Mama mama tunakuomba, wewe ni best president in Afrika, we know that hutatuangusha. God bless you mama
 
Nimeangalia clip ya ALI BASHIRU alipohojiwa na CHANEL TEN back in a time alitema madini mengi sana sa sijui zile akili alipotezea wapi, same to MAGAMBA NA KOBE
 
Wakati wa Mchakato wa KATIBA MPYA mwaka 2011, Bwana Humphrey Polepole na Bw. Kabudi Walikuwa Miongoni ya Wajumbe wa ile Tume ya Warioba. Watu hawa Walikuwa Mstari wa mbele sana kuhakikisha mchakato ule unafanikiwa.

Kwa Bahati Mbaya mahafidhina wakauharibu ule Mchakato na Katiba Mpya haikupatikana.

Hivi Sasa Bw.Kabudi ni Waziri na Bw.Polepole ni Mbunge. Cha kushangaza Watu hao Wamekuwa miongoni wa wapinga Katiba Mpya na kudai Katiba iliyopo ni imara.

Swali la Msingi:

Je, kipindi kile Walitaka Katiba Mpya kwa kuwa hawakuwa Mawaziri au Wabunge?

Je, Kipindi hiki Wanapinga Katiba Mpya kwa kuwa ni Waziri au Mbunge?
Yule prof aliyeokotwa jalalani ni mnafiki wa kiwango cha SGR .....anafanya tuanze kutilia shaka ma proffesors wa tanzania ,,wasomi wafanye jambo especially kwenye hili la katiba,unless otherwise basi huyu palamagamba asha under value the honour of proffesors
 
Wakati wa Mchakato wa KATIBA MPYA mwaka 2011, Bwana Humphrey Polepole na Bw. Kabudi Walikuwa Miongoni ya Wajumbe wa ile Tume ya Warioba. Watu hawa Walikuwa Mstari wa mbele sana kuhakikisha mchakato ule unafanikiwa.

Kwa Bahati Mbaya mahafidhina wakauharibu ule Mchakato na Katiba Mpya haikupatikana.

Hivi Sasa Bw.Kabudi ni Waziri na Bw.Polepole ni Mbunge. Cha kushangaza Watu hao Wamekuwa miongoni wa wapinga Katiba Mpya na kudai Katiba iliyopo ni imara.

Swali la Msingi:

Je, kipindi kile Walitaka Katiba Mpya kwa kuwa hawakuwa Mawaziri au Wabunge?

Je, Kipindi hiki Wanapinga Katiba Mpya kwa kuwa ni Waziri au Mbunge?
Kwa kila aliye katika nafasi ya kushiriki keki ya taifa hili katika muktadha wa ulaji, hii katiba hawezi kukubali ibadilike!! Hata iwe wewe!! Kutesa kwa zamu. Hii ni pale ambapo raia namba moja atakapoamua kutoendelea na awamu yake nyingine ndipo atafagilia hili!!, vinginevyo SAHAU
 
Back
Top Bottom