Waliokuwa mstari wa mbele kudai Katiba Mpya baada ya kupata vyeo leo wanaipinga

Waliokuwa mstari wa mbele kudai Katiba Mpya baada ya kupata vyeo leo wanaipinga

Kabudi akiwa porini kufundisha umuhimu wa katiba mpya kabla hajasaliti nchi.
UyP7G.jpg
 
Yule prof aliyeokotwa jalalani ni mnafiki wa kiwango cha SGR .....anafanya tuanze kutilia shaka ma proffesors wa tanzania ,,wasomi wafanye jambo especially kwenye hili la katiba,unless otherwise basi huyu palamagamba asha under value the honour of proffesors
Tafuta uproffesor wako ambao hutatiliwa shaka

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Zama mpya hizi. Kama una hamu na Katiba Tunga yako na mumeo
Ila aliyetuumba waafrika sijui hata alikosea wapi?!!yaani mawazo ya kishenzi shenzi tu, na hususani anapoona kuwa maslahi yake yako hatarini na sio maslahi ya wengi!!Hivi kweli hiyo katiba mpya hususani ile ya warioba ina shida gani kwa maslahi ya wengi?huyo mnyonge, haijarisha itapitishwa lini.Na hao walioko madarakani ndio wanaopiga kelele kuwa hakuna haja!!ila WATZ,
 
Wakati wa Mchakato wa KATIBA MPYA mwaka 2011, Bwana Humphrey Polepole na Bw. Kabudi Walikuwa Miongoni ya Wajumbe wa ile Tume ya Warioba. Watu hawa Walikuwa Mstari wa mbele sana kuhakikisha mchakato ule unafanikiwa.

Kwa Bahati Mbaya mahafidhina wakauharibu ule Mchakato na Katiba Mpya haikupatikana.

Hivi Sasa Bw.Kabudi ni Waziri na Bw.Polepole ni Mbunge. Cha kushangaza Watu hao Wamekuwa miongoni wa wapinga Katiba Mpya na kudai Katiba iliyopo ni imara.

Swali la Msingi:

Je, kipindi kile Walitaka Katiba Mpya kwa kuwa hawakuwa Mawaziri au Wabunge?

Je, Kipindi hiki Wanapinga Katiba Mpya kwa kuwa ni Waziri au Mbunge?
zamani



Baada ya kulewa vyeo .

Unaijua VIEITE WEWE ?
 
Ndio ujue sasa hata wanaopiga kelele za katiba wanatafuta vyao maana itawawezesha kupatapo chochote.

Umemsikia common people akidai katiba? Hao ni wasaka tonge tuu kama wengine.

Naweza kukubaliana na wewe, sijawahi sikia wananchi wa kawaida popote walipo wakidai katiba mpya. Wananchi wanadai barabara, shule, maji, umeme, kituo cha afya n.k. Katiba siyo kipao mbele cha walio wengi.
 
Back
Top Bottom