Kwa kweli hii nchi ilikuwa imefikia pabaya kwa baadhi ya makundi kutoa lugha za kashfa,dharau ,ubabe ,matusi kisa kumlinda au kumtetea mwendazake na maovu yake
Kuna mtu anatokea kanda ya ziwa alikuwa na magazeti ya kuwatukana watanzania siku hizi sijui kama hayo magazeti yapo
Kila wiki yupo live TV za YouTube kuporomosha matusi, kashfa dhihaka kwa viongozi wa wastaafu wa Taifa hili kwa kigezo cha uzalendo
Na cha kushangaza vyombo vya dola vilikuwa kimya kumkataza kwa mambo anayoyafanya
Tangu mwendazake atoke simuoni live YouTube wala magazeti hayazagai tena mtaani
Tunataka katiba mpya ambayo itaweka wazi utawala bora wenye taasisi imara na si za kutegemea kikundi cha watu
Kuna mtu anatokea kanda ya ziwa alikuwa na magazeti ya kuwatukana watanzania siku hizi sijui kama hayo magazeti yapo
Kila wiki yupo live TV za YouTube kuporomosha matusi, kashfa dhihaka kwa viongozi wa wastaafu wa Taifa hili kwa kigezo cha uzalendo
Na cha kushangaza vyombo vya dola vilikuwa kimya kumkataza kwa mambo anayoyafanya
Tangu mwendazake atoke simuoni live YouTube wala magazeti hayazagai tena mtaani
Tunataka katiba mpya ambayo itaweka wazi utawala bora wenye taasisi imara na si za kutegemea kikundi cha watu