Waliokuwepo kwenye oral ya Mzinga corporation 29/12/2021 Morogoro vipi majibu bado jamani?

Waliokuwepo kwenye oral ya Mzinga corporation 29/12/2021 Morogoro vipi majibu bado jamani?

Mes92

Member
Joined
Jan 27, 2022
Posts
79
Reaction score
97
Habarini za mda huu!

Waungwana Kuna mwenye taarifa yoyote juu ya ile interview ya Mzinga tujuzane. Maana ni mwezi sasa au huwa wanachukua mda gani kutoa majibu ya oral?

Kama Kuna mwenye experience na hizi ajira za utumishi tujuzane
 
Watu waliitwa kazini na nilikosa😢
 
Back
Top Bottom