Waliokwenda kwa Mwenyekiti wote waganga njaa hakuna kitu palee

Waliokwenda kwa Mwenyekiti wote waganga njaa hakuna kitu palee

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Njaa mbaya sana kosa yootee sio njaa

KUNA wah walienda kwa mwenyekiti WA chadema wakitaka agombee tenaa.

Wale jamaa ukiangalia kuanzia sura zaoo na maneno yao. utaona Hawa jamaa waganga njaa

Walishtuka wakahisi mbowe akiondoka maisha yao na maslahi yaoo yatakuwa hatarinii

Siasa mchezo mchafu sana

Endeleen kuuana sisi tunapiga maendeleoo
 
Njaa mbaya sana kosa totee sio njaa

KUNA wah walienda kwa mwenyekiti WA chadema wakitaka agombee tenaa.

Wale jamaa ukiangalia kuanzia sura zaoo na maneno yao. utaona Hawa jamaa waganga njaa

Walishtuka wakahisi mbowe akiondoka maisha yako yatakuwa hatarinii

Siasa mchezo mchafu sana
Mgao wa Abdul umewapitia
 
Njaa mbaya sana kosa totee sio njaa

KUNA wah walienda kwa mwenyekiti WA chadema wakitaka agombee tenaa.

Wale jamaa ukiangalia kuanzia sura zaoo na maneno yao. utaona Hawa jamaa waganga njaa

Walishtuka wakahisi mbowe akiondoka maisha yako yatakuwa hatarinii

Siasa mchezo mchafu sana
Waliosimama leo na Mbowe ni wale ambao alisimama nao wakati wanapita katika wakati mgumu. Mbowe amefungwa nao, amehangaika nao kutafuta pesa za kuendesha chama wakati hawana ruzuku. Wanamjua vizuri Mbowe kuliko wewe na mimi. Nitajie viongozi wa Chadema watatu ambao walifungwa pamoja na Lissu. Lissu alikosea sana kumshambulia Mbowe.

Amandla...
 
Waliosimama leo na Mbowe ni wale ambao alisimama nao wakati wanapita katika wakati mgumu. Mbowe amefungwa nao, amehangaika nao kutafuta pesa za kuendesha chama wakati hawana ruzuku. Wanamjua vizuri Mbowe kuliko wewe na mimi. Nitajie viongozi wa Chadema watatu ambao walifungwa pamoja na Lissu. Lissu alikosea sana kumshambulia Mbowe.

Amandla...
Masikini Meddy 🐼
 
Hata ukiwa na akili ya kuvukia barabara tu huwezi kufurahia TAL kuwa Mwenyekiti wa CDM Taifa, anavyotukana serikali na Saa100.
 
Hawa wa kuja wameiharibu Dar yote na mji umekuwa na wajinga wengi sana
Sasa wanataka kuharibu Chadema,
Huyu lussi anaenda kuua Chadema ambayo Mbowe kaijenga kwa pia kutumia hela zake binafsi wakati wa yule mwehu jiwe wakati huyu lussi alikimbilia ubeligiji
 
Njaa mbaya sana kosa yootee sio njaa

KUNA wah walienda kwa mwenyekiti WA chadema wakitaka agombee tenaa.

Wale jamaa ukiangalia kuanzia sura zaoo na maneno yao. utaona Hawa jamaa waganga njaa

Walishtuka wakahisi mbowe akiondoka maisha yao na maslahi yaoo yatakuwa hatarinii

Siasa mchezo mchafu sana

Endeleen kuuana sisi tunapiga maendeleoo
Jamaa wamesimika mizizi
 
Waliosimama leo na Mbowe ni wale ambao alisimama nao wakati wanapita katika wakati mgumu. Mbowe amefungwa nao, amehangaika nao kutafuta pesa za kuendesha chama wakati hawana ruzuku. Wanamjua vizuri Mbowe kuliko wewe na mimi. Nitajie viongozi wa Chadema watatu ambao walifungwa pamoja na Lissu. Lissu alikosea sana kumshambulia Mbowe.

Amandla...
Mkuu, ninaomba unisamehe sana "in advance"

Mkuu, kwani CHADEMA hawana vitega uchumi??..
 
Hata ukiwa na akili ya kuvukia barabara tu huwezi kufurahia TAL kuwa Mwenyekiti wa CDM Taifa, anavyotukana serikali na Saa100.
hahahaha mkuu kwa maneno haya hata iyo akili ya kuvukia barabara huna
 
Njaa mbaya sana kosa yootee sio njaa

KUNA wah walienda kwa mwenyekiti WA chadema wakitaka agombee tenaa.

Wale jamaa ukiangalia kuanzia sura zaoo na maneno yao. utaona Hawa jamaa waganga njaa

Walishtuka wakahisi mbowe akiondoka maisha yao na maslahi yaoo yatakuwa hatarinii

Siasa mchezo mchafu sana

Endeleen kuuana sisi tunapiga maendeleoo
Wenye pesa mlojazana Kwa Lisu na manango yenu 😆😆😆

Mwisho usipoenda Kwa mwenye pesa utakula maneno matupu?
 
Msamaha wa nini kwa kuuliza swali? Sidhani kama Chadema wana vitega uchumi vya maana. Sehemu kubwa ya vitega uchumi vya CCM ilivipata wakati wa chama kimoja.

Amandla...
Daaaah ila CCM bhana. Kila siku ninawaambia, hauwezi kuwa nchi ya kijamaa katika ulimwengu unaoongozwa na ubepari (Miltipartism) kama hauna uchumi imara na silaha za nyuklia.

China anaongeza production of her nuclear stockpiles. Kwanini?? Kwa sababu anataka kujilinda na capitalism economies.

Tanzania wao kifo cha Mzee Ally Kibao tu, mpaka Mabalozi wa Ulaya wamewatetemesha.

Tanzania inapaswa kuwa kama Ghana. A two part state. Full stop.

Sehemu ya Mali za CCM zinapaswa kuhamia CHADEMA ili kujenga balance of power.
======
 
Back
Top Bottom