harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
for that criteria, unfortunately he didWhat he does is exposing fake pastors he would expose tb joshua if he was fake.
View: https://youtu.be/gprD5MkvRB4?si=k-1adp_qP4if047o
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
for that criteria, unfortunately he didWhat he does is exposing fake pastors he would expose tb joshua if he was fake.
Mapumbavu hayawezi kukuelewa. Yale yaliyokuwa yanamwabudu Joshua. Hayajui kuwa nje mtu anaweza akaonekana kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu mkali.Binafsi mimi ni mkristo ambaye ninaamini katika Mungu na Yesu Kristo.
Sijajenga imani yangu kwa binadamu awaye yeyote, hivyo ninauhakika hata kama kiongozi wangu wa kiimani akifanya mambo ya hovyo bado hainiyumbishi kwa chochote maana sijajenga tumaini na msingi juu ya mwanadamu.
Ndani ya ukristo wapo watumishi wa kweli na wengine wa mchongo, sasa ikitokea umejenga tumaini kwa kiongozi wako halafu akawa wa mchongo, watu wakikusitua utawaona hamnazo kumbe wasemalo ni kweli.
Tukija kwa TB Joshua, huenda na yeye akawa na mambo ya giza au laa, maana ukweli wa mtu anaujua mwenyewe na Mungu wake.
Hujamkopesha-Mzee Gwajima.Bado Tony Kapola
Wakati huu ambapo Shetani anajaribu kuingiza Agenda yake ya technologia ya kuingiziwa chip watu kwebye mapaji ya uso na mikononi (666) ili kufanya manunuzi kwanza anataka auchafue ukristo ambapo amemchafua Baba mkuwa wa imani ya Kinabii Prophet TB Joshua ili ukristo udharauliwe na kutukanwa ikiwa wale wote waliotestify wamelipwa.
Mmoja wa wanawake Sihle Sibisi ambaye aliwahi kumpaka kashfa Pastor Chris Oyakhilome ni mmoja wa waliopata tenda iyo ya kuigiza BBC na pia akiwepo yule mwenye jicho upande ambaye alitakaga kulazimisha kuolewa na TB Joshua.
Link ya Youtube ya Maongezi ya uto dada ya Jay Isarael SNR iyo hapa…
View: https://youtu.be/FYpSo94kdCU?si=FD-mSU-BVC7RwzhyView attachment 2869332
Yaani wote mnaomtetea TBJ bado hamjasema. Wapelekeni mahakamani bbc kama mnaona wamemchafua Mungu wenu.
Wakati huu ambapo Shetani anajaribu kuingiza Agenda yake ya technologia ya kuingiziwa chip watu kwebye mapaji ya uso na mikononi (666) ili kufanya manunuzi kwanza anataka auchafue ukristo ambapo amemchafua Baba mkuwa wa imani ya Kinabii Prophet TB Joshua ili ukristo udharauliwe na kutukanwa ikiwa wale wote waliotestify wamelipwa.
Mmoja wa wanawake Sihle Sibisi ambaye aliwahi kumpaka kashfa Pastor Chris Oyakhilome ni mmoja wa waliopata tenda iyo ya kuigiza BBC na pia akiwepo yule mwenye jicho upande ambaye alitakaga kulazimisha kuolewa na TB Joshua.
Link ya Youtube ya Maongezi ya uto dada ya Jay Isarael SNR iyo hapa…
View: https://youtu.be/FYpSo94kdCU?si=FD-mSU-BVC7RwzhyView attachment 2869332
Upo sahihi, tb Joshua ni tapeli na mwizi, mwamposa ni tapeli pia, wamama wamejihangaisha kwa kuuza vitumbua,chapati yeye anawaibia hawa na kujenga kwao, hotel ile ni ya kiwiziMnaibiwa sadaka na hawa manabii na mitume feki.
Mnawapa cover kutajirika kwa kufanya biashara haramu na uhalifu kwa kivuli cha dini.
Wanafanya human trafficking, arms deals, drug deals na uhovyo hovyo mwingi kwa kivuli cha kanisa.
Huyo Joshua na masalia yake kina Mwamposa, Gwajima na matapeli wengine ni waabudu shetani, mashirikina, majizi na majambazi, shtuka mtanzania
Sasa wamama ukitaka kugombana nao mguse jizi Mwamposa au GwajiboyUpo sahihi, tb Joshua ni tapeli na mwizi, mwamposa ni tapeli pia, wamama wamejihangaisha kwa kuuza vitumbua,chapati yeye anawaibia hawa na kujenga kwao, hotel ile ni ya kiwizi
It's so sad mkuu,matapeli haya yanatumia ufinyu wa uelewa wa poor of the poorest kwa manufaa yao, tapeli mwaposa haishi tandale au mpitimbi au unango!!,yeye anaishi kwenye helalu la mabilioni,ila kondoo zake wapo kwenye vi shacksSasa wamama ukitaka kugombana nao mguse jizi Mwamposa au Gwajiboy
Post ilo hekalu lale hapaIt's so sad mkuu,matapeli haya yanatumia ufinyu wa uelewa wa poor of the poorest kwa manufaa yao, tapeli mwaposa haishi tandale au mpitimbi au unango!!,yeye anaishi kwenye helalu la mabilioni,ila kondoo zake wapo kwenye vi shacks
NakaziaRest in peace man of GOD prophet temitoke balogun Joshua.
unawaza kudhibitisha unachosema ni mfumo wa uchumi kivip?Kwanza 666 sio cheap elewa hili.
666 ni mfumo wa uchumi wa Dunia ambao haukwepeki
111,333,555,666,777,999 kila codes inasimamia project Fulani 666 ni uchumi,999 ni technology,kuna siasa,kuna dini nkunawaza kudhibitisha unachosema ni mfumo wa uchumi kivip?
Kwnn 666 ni uchumi ?Hizi ni codes zipo SITA Kuna
111,333,555,666,777,999 kila codes inasimamia project Fulani 666 ni uchumi,999 ni technology,kuna siasa,kuna dini nk