Waliolipwa kumchafua TB Joshua BBC wafichuliwa

Mapumbavu hayawezi kukuelewa. Yale yaliyokuwa yanamwabudu Joshua. Hayajui kuwa nje mtu anaweza akaonekana kondoo lakini ndani ni mbwa mwitu mkali.
 

Mnafanana n huyo shetani wabakaji wakubwa nyinyi, Hakuna mtu anaweza kupangua hoja za BBC kisomi, wahusika wote walikuwa core pillars wa TB (Mbakaji).
 
TB nae binadamu usimpe haki sana...wewe sio YEHOVA.
 
Upo sahihi, tb Joshua ni tapeli na mwizi, mwamposa ni tapeli pia, wamama wamejihangaisha kwa kuuza vitumbua,chapati yeye anawaibia hawa na kujenga kwao, hotel ile ni ya kiwizi
 
Upo sahihi, tb Joshua ni tapeli na mwizi, mwamposa ni tapeli pia, wamama wamejihangaisha kwa kuuza vitumbua,chapati yeye anawaibia hawa na kujenga kwao, hotel ile ni ya kiwizi
Sasa wamama ukitaka kugombana nao mguse jizi Mwamposa au Gwajiboy
 
Sasa wamama ukitaka kugombana nao mguse jizi Mwamposa au Gwajiboy
It's so sad mkuu,matapeli haya yanatumia ufinyu wa uelewa wa poor of the poorest kwa manufaa yao, tapeli mwaposa haishi tandale au mpitimbi au unango!!,yeye anaishi kwenye helalu la mabilioni,ila kondoo zake wapo kwenye vi shacks
 
It's so sad mkuu,matapeli haya yanatumia ufinyu wa uelewa wa poor of the poorest kwa manufaa yao, tapeli mwaposa haishi tandale au mpitimbi au unango!!,yeye anaishi kwenye helalu la mabilioni,ila kondoo zake wapo kwenye vi shacks
Post ilo hekalu lale hapa
 
yaani waafrica tunachekesha, unapata wapi ujasiri wa kubishana na shirika la habari lililoanzishwa 1922 yaani hata mkichanganya ukoo wenu wote bado mnaonekana wote mmeikuta BBC, BBC ni shirika kubwa sana kuliko wengi wanavyodhani hawakurupuki ni vile mmehemka kwasababu ameguswa mtu mnayempenda.
 
Inawezekana unahoja lkn hujui chochote kuhusiana na maana ya cha triple 6. Umeingizwa kwenye mfumo wa chip za kielectronic na wewe ukajaa mzima mzima. Mkuu 666 is not about electronic chip, it's about the social system that will be imposed to control the mindset of human beings not necessarily to be implanted with the said chip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…