Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

Waliolipwa madai ya kukosa ajira NSSF

mkaa mweusi

Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
69
Reaction score
26
Wakuu naomba kuuliza swali kwa waliolipwa Madai Yao NSSF.

Je, ukilipwa dai lako kuna update yoyote katika User-Portal yako ya NSSF ukilogin? Hasa upande wa Claims Details maana hapa kila nikiangalia ya kwangu sioni mabadiliko yapata mwezi na week moja.

Ningependa kujua muda halisi madai huchukua Mpaka kulipwa na change yoyote katika user-portal kwa waliolipwa.
 
Wakuu naomba kuuliza swali kwa waliolipwa Madai Yao NSSF.

Je, ukilipwa dai lako kuna update yoyote katika User-Portal yako ya NSSF ukilogin? Hasa upande wa Claims Details, maana hapa kila nikiangalia ya kwangu sioni mabadiliko yapata mwezi na week moja.

Ningependa kujua muda halisi madai huchukua Mpaka kulipwa na change yoyote katika user-portal kwa waliolipwa.
Wakuu
 
Wakuu naomba kuuliza swali kwa waliolipwa Madai Yao NSSF.

Je, ukilipwa dai lako kuna update yoyote katika User-Portal yako ya NSSF ukilogin? Hasa upande wa Claims Details, maana hapa kila nikiangalia ya kwangu sioni mabadiliko yapata mwezi na week moja.

Ningependa kujua muda halisi madai huchukua Mpaka kulipwa na change yoyote katika user-portal kwa waliolipwa.
Habari yako kiongozi? Mara nyingi haya madai hulipwa ndani ya wiki sita kama documents zote zipo na hazina shaka, na kila hatua jinsi faili linavyoshughulikiwa kama umejiunga na huduma ya NSSF online unakuwa unaona kipi kinachoendelea na mpaka faili likiwa APPROVED na siku ya kulipwa pia inaonekana. Vilevile ukishaingia hapo kwenye USER-PORTAL upande wa STATUS kwa kipengele cha CLAIMS DETAILS ukiona wameweka neno LODGING hapo ujuwe faili lako limeanza kufanyiwa kazi. Likitoka kuwa LODGING linakuja kuwa APPROVED baada ya hapo inakuwa PAID. Usivunjike moyo Kiongozi pesa yako utaipata tu kwani si walikupa tarehe ya kurudi tena iwapo pesa yako itakuwa bado haijaingia kwenye akaunti? Mara nyingi huwa ni kipindi cha matazamio cha miezi miwili, lakini hiyo miezi miwili huwa haifiki inacheza kwenye wiki sita hadi saba. Endelea kuwa na subira kiongozi, nakutakia siku njema.
 
Habari yako kiongozi? Mara nyingi haya madai hulipwa ndani ya wiki sita kama documents zote zipo na hazina shaka, na kila hatua jinsi faili linavyoshughulikiwa kama umejiunga na huduma ya NSSF online unakuwa unaona kipi kinachoendelea na mpaka faili likiwa APPROVED na siku ya kulipwa pia inaonekana. Vilevile ukishaingia hapo kwenye USER-PORTAL upande wa STATUS kwa kipengele cha CLAIMS DETAILS ukiona wameweka neno LODGING hapo ujuwe faili lako limeanza kufanyiwa kazi. Likitoka kuwa LODGING linakuja kuwa APPROVED baada ya hapo inakuwa PAID. Usivunjike moyo Kiongozi pesa yako utaipata tu kwani si walikupa tarehe ya kurudi tena iwapo pesa yako itakuwa bado haijaingia kwenye akaunti? Mara nyingi huwa ni kipindi cha matazamio cha miezi miwili, lakini hiyo miezi miwili huwa haifiki inacheza kwenye wiki sita hadi saba. Endelea kuwa na subira kiongozi, nakutakia siku njema.
Mkuu nashukuru kwa maelezo haya, bado inaonesha LODGING katika status, hope mambo yataenda katika mustawa sahihi. Nilipewa muda wa kurudi. Na je kama statement inaonyesha pesa Mpaka mwezi wa Sita tu mwaka mmoja nyuma, utaweza kulipwa. Natanguliza shukrani
 
Wakuu naomba kuuliza swali kwa waliolipwa Madai Yao NSSF.

Je, ukilipwa dai lako kuna update yoyote katika User-Portal yako ya NSSF ukilogin? Hasa upande wa Claims Details, maana hapa kila nikiangalia ya kwangu sioni mabadiliko yapata mwezi na week moja.

Ningependa kujua muda halisi madai huchukua Mpaka kulipwa na change yoyote katika user-portal kwa waliolipwa.

Namjua mtu anafuatilia toka mwezi wa nne 2019 wamegoma kumlipa
 
Mkuu nashukuru kwa maelezo haya, bado inaonesha LODGING katika status, hope mambo yataenda katika mustawa sahihi. Nilipewa muda wa kurudi. Na je kama statement inaonyesha pesa Mpaka mwezi wa Sita tu mwaka mmoja nyuma, utaweza kulipwa. Natanguliza shukrani
Hapo bado sijaelewa vizuri swali lako, nadhani unaweza kuongezea nyama kidogo katika maelezo.
 
Hapo bado sijaelewa vizuri swali lako, nadhani unaweza kuongezea nyama kidogo katika maelezo.
Michango yangu inasoma last date kwenye Statement as January 2020, ofisini wameniambia kupeleka michango yote hadi ya Jan 2021. Hapo ndo napata tafarani kuelewa
 
Sasa kwenye hyo statement unatakiwa upige hesabu ya mwanzo ya michango ilipoanza kuingia mpaka mda wa ukomo wa ajira kama ipo sawa au laa ili ujue pa kuanzia

Michango yangu inasoma last date kwenye Statement as January 2020, ofisini wameniambia kupeleka michango yote hadi ya Jan 2021. Hapo ndo napata tafarani kuelewa
 
Michango yangu inasoma last date kwenye Statement as January 2020, ofisini wameniambia kupeleka michango yote hadi ya Jan 2021. Hapo ndo napata tafarani kuelewa
Hapo unatakiwa uchukue form nssf halafu uende ofisini ulipokuwa unafanya kazi wakujazie risiti number za malipo za hyo miezi ambayo hujajaziwa halafu urudi tena nssf kwa data entry wakujazie hiyo michango yako
 
Hapo unatakiwa uchukue form nssf halafu uende ofisini ulipokuwa unafanya kazi wakujazie risiti number za malipo za hyo miezi ambayo hujajaziwa halafu urudi tena nssf kwa data entry wakujazie hiyo michango yako
Mkuu pwilo nashukuru sana kwa maelezo hayo, risiti namba nimeshatumiwa, ntaelekea ofisi zao ili nilikebishe michango yangu. Asante sana.
 
Habari yako kiongozi? Mara nyingi haya madai hulipwa ndani ya wiki sita kama documents zote zipo na hazina shaka, na kila hatua jinsi faili linavyoshughulikiwa kama umejiunga na huduma ya NSSF online unakuwa unaona kipi kinachoendelea na mpaka faili likiwa APPROVED na siku ya kulipwa pia inaonekana. Vilevile ukishaingia hapo kwenye USER-PORTAL upande wa STATUS kwa kipengele cha CLAIMS DETAILS ukiona wameweka neno LODGING hapo ujuwe faili lako limeanza kufanyiwa kazi. Likitoka kuwa LODGING linakuja kuwa APPROVED baada ya hapo inakuwa PAID. Usivunjike moyo Kiongozi pesa yako utaipata tu kwani si walikupa tarehe ya kurudi tena iwapo pesa yako itakuwa bado haijaingia kwenye akaunti? Mara nyingi huwa ni kipindi cha matazamio cha miezi miwili, lakini hiyo miezi miwili huwa haifiki inacheza kwenye wiki sita hadi saba. Endelea kuwa na subira kiongozi, nakutakia siku njema.
Mkuu nimependa elimu hii. Naomba kuuliza Ni muda gani unatakiwa kufungua madai ya kukosa ajira baada ya kuwa umeachishwa kazi?
 
Mkuu nimependa elimu hii. Naomba kuuliza Ni muda gani unatakiwa kufungua madai ya kukosa ajira baada ya kuwa umeachishwa kazi?
Ni muda wowote tu unafungua ila angalizo kama ukipeleka maombi baada ya miezi sita ya ukomo wa mkataba wako wa ajira utatakiwa kuandika barua ya kuomba kibali cha kufungua madai kwa Meneja wa NSSF wa mkoa husika unaofungulia maombi. Mfano wa barua utaikuta kwenye ubao wa matangazo wa NSSF.
 
Back
Top Bottom